HAMAS: Tumeharibu kabisa kwa kiasi magari 136 ya jeshi la adui na kuwazuia kuendelea na operesheni

HAMAS: Tumeharibu kabisa kwa kiasi magari 136 ya jeshi la adui na kuwazuia kuendelea na operesheni

Wewe Muisrael mweusi wa Kimara temboni hauna unachokijua zaidi ya ushabiki mandazi.
Endelea kucheza baada ya kuangalia hii video.

Israeli helicopters land in the courtyard of Assuta Hospital in Ashdod, carrying dead and seriously injured soldiers.
hatujui lkn hatuon wakijiachia kwenye Gaza yao
 
Wewe Muisrael mweusi wa Kimara temboni hauna unachokijua zaidi ya ushabiki mandazi.
Endelea kucheza baada ya kuangalia hii video.

Israeli helicopters land in the courtyard of Assuta Hospital in Ashdod, carrying dead and seriously injured soldiers.
Kumbe ngoma drooo.... Sasa kama Israel anapigwa na Hamas kama unavyoripoti... Kwa nini Pro-Palestina mnalilia Ceasefire? Kwa nini mnawapigia magoti Marekani na Israel ziache kuwapiga?

Sasa tusisikie zile kelele za Ceasefire na kuplay Victim Card.

Acha Zichapwe mpaka mwisho... mbabe atajulikana mwishoni
 
Hamas wameomba maridhiano ya kusimamisha mashambulizi ya IDF kwa kubadilishana na baadhi ya mateka wa kigeni, naona kichapo kimewafanya akili ziwarudie soon watatema mateke wote, IDF pelekea moto wapumbavu hao wakishashiba parachichi, tende na harua yanajazana maujinga ya kidini na kujiona wanaweza kufanya chochote.
Sasa swali ambalo silielewi, pamoja na kubomolewa maghorofa, bado mateka hawajakombolewa?
 
Wanaukumbi.

-----

136 enemy military vehicles were destroyed by the resistance

Abu Obeidah, the spokesman of the Qassam battalions:

We have completely and partially destroyed 136 enemy military vehicles and stopped them from continuing the operation.

Our Mujahideen destroy vehicles and cause many deaths and injuries in the ranks of the enemy.

In the next few minutes, we will show a corner of the greatness of our Mujahideen and their battle with the enemy in the buildings and the hunting of tanks and their destruction.

These actions are only the tip of the iceberg that our mujahids do.

Hamas fighters continue to burn Israeli equipment.

The tactics are still the same, Adidas T-shirt + RPG

Hamas demonstrates fresh footage of the destruction of Israeli armored vehicles in urban areas of Gaza.

View attachment 2808194
Yaani hali ya Gaza inavyotia huruma bado tu wafia dini mnawasifia Hamas walioleta matatizo kwa wapalestina?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Yaani hali ya Gaza inavyotia huruma bado tu wafia dini mnawasifia Hamas walioleta matatizo kwa wapalestina?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Wewe punguani kweli eti Hamas wameleta matatizo kwa Wapalestina Hamas imeanzishwa lini? West Bank kuna Hamas umeanza kufuatiioa huu mgongoro JF. Jinga kabisa wewe zadi ya miaka 50 Wapalestina wanateswa na mabasha zako.
 
sisi hatuandamani,ila tunawaambia ukweli Gaza ishakuwa ya wayahudi,kama mna uchungu na nyie muandamane kama mlivyoombwa na balozi wa Palestina
Huu uharo unaaondika humu ndiyo ukweli.
 
Wanaukumbi.

-----

136 enemy military vehicles were destroyed by the resistance

Abu Obeidah, the spokesman of the Qassam battalions:

We have completely and partially destroyed 136 enemy military vehicles and stopped them from continuing the operation.

Our Mujahideen destroy vehicles and cause many deaths and injuries in the ranks of the enemy.

In the next few minutes, we will show a corner of the greatness of our Mujahideen and their battle with the enemy in the buildings and the hunting of tanks and their destruction.

These actions are only the tip of the iceberg that our mujahids do.

Hamas fighters continue to burn Israeli equipment.

The tactics are still the same, Adidas T-shirt + RPG

Hamas demonstrates fresh footage of the destruction of Israeli armored vehicles in urban areas of Gaza.

View attachment 2808194
Asante sana Al sahafu wa Hamas. Die hard fan
 
Gaza inarudi chini ya udhibiti wa Israel kama ilivyo west Bank, hakuna Uhuru hapo.
Hujui lolote kuhusu Mashariki ya kati Palestina kuna uhuru gani
 
Wana muda gani wa kuhesabu wanaishi mashimoni kama panya?
Ila kiuhalisia wamefanya resistance ambayo haikutegemewa. Nadhani hawa si Hamas kutakuwa kuna Jeshi jingine zaidi ya Hamas linapigana vita hii na Israel.
 
Asante sana Al sahafu wa Hamas. Die hard fan
Vipi mateka wamekombolewa? Mwezi sasa wanamgambo 10.000 wenye silaha za kienyeji mabasha zako wameshindwa wameishia kuuwa watoto na wanawake na kupiga mabomu hospital na shule.
 
Kwa hyo hamna haja ya CEASEFIRE? Magaidi bana
 
Ila kiuhalisia wamefanya resistance ambayo haikutegemewa. Nadhani hawa si Hamas kutakuwa kuna Jeshi jingine zaidi ya Hamas linapigana vita hii na Israel.
Hivi umejiuliza haya?
1. Pesa za kuchimba na kujenga njia za chini zenye urefu sawa na umbali kutoka dar hadi moshi wametoa wapi pesa ndefu kiasi hicho?

2. Hizi silaha nyingi na za kisasa wanapata wapi?

3. Chakula cha kuwatosha muda mrefu chini ya ardhi wametoa wapi?
 
Vipi mateka wamekombolewa? Mwezi sasa wanamgambo 10.000 wenye silaha za kienyeji mabasha zako wameshindwa wameishia kuuwa watoto na wanawake na kupiga mabomu hospital na shule.
We mji unaenda unazungumzia mateka. Nani kakuambia mateka ni big deal kwa Israel. Wao wanakuambia wanataka miaka 50 ijayo wakumbuke hiki kichapo. Hamas nimarufuku kuwepo hapo. Hamas wenyewe jana wameomba kichapo kipungue wawaachie baadhi ya mateka.
 
Back
Top Bottom