hatujui lkn hatuon wakijiachia kwenye Gaza yaoWewe Muisrael mweusi wa Kimara temboni hauna unachokijua zaidi ya ushabiki mandazi.
Endelea kucheza baada ya kuangalia hii video.
Israeli helicopters land in the courtyard of Assuta Hospital in Ashdod, carrying dead and seriously injured soldiers.
humanity ip?The defeat of Israel is a win for humanity
Kumbe ngoma drooo.... Sasa kama Israel anapigwa na Hamas kama unavyoripoti... Kwa nini Pro-Palestina mnalilia Ceasefire? Kwa nini mnawapigia magoti Marekani na Israel ziache kuwapiga?Wewe Muisrael mweusi wa Kimara temboni hauna unachokijua zaidi ya ushabiki mandazi.
Endelea kucheza baada ya kuangalia hii video.
Israeli helicopters land in the courtyard of Assuta Hospital in Ashdod, carrying dead and seriously injured soldiers.
Sasa swali ambalo silielewi, pamoja na kubomolewa maghorofa, bado mateka hawajakombolewa?Hamas wameomba maridhiano ya kusimamisha mashambulizi ya IDF kwa kubadilishana na baadhi ya mateka wa kigeni, naona kichapo kimewafanya akili ziwarudie soon watatema mateke wote, IDF pelekea moto wapumbavu hao wakishashiba parachichi, tende na harua yanajazana maujinga ya kidini na kujiona wanaweza kufanya chochote.
Israel hatafuti mateka anatafuta magaidi ndo first target yake .Sasa swali ambalo silielewi, pamoja na kubomolewa maghorofa, bado mateka hawajakombolewa?
hata iweje Gaza ishakuwa chini ya wayahudi, kujifariji hakutasaidia
sisi hatuandamani,ila tunawaambia ukweli Gaza ishakuwa ya wayahudi,kama mna uchungu na nyie muandamane kama mlivyoombwa na balozi wa PalestinaNa myie Waisrael weusi wa Makete na Rombo mnaandamana wapi?
Wasipokaa vizuri HAMAS watafutika jumlaIsraeli kwa sasa anapanga amchague nani awe kiongozi wa Gaza, Hamas wameshapoteana.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Yaani hali ya Gaza inavyotia huruma bado tu wafia dini mnawasifia Hamas walioleta matatizo kwa wapalestina?Wanaukumbi.
-----
136 enemy military vehicles were destroyed by the resistance
Abu Obeidah, the spokesman of the Qassam battalions:
We have completely and partially destroyed 136 enemy military vehicles and stopped them from continuing the operation.
Our Mujahideen destroy vehicles and cause many deaths and injuries in the ranks of the enemy.
In the next few minutes, we will show a corner of the greatness of our Mujahideen and their battle with the enemy in the buildings and the hunting of tanks and their destruction.
These actions are only the tip of the iceberg that our mujahids do.
Hamas fighters continue to burn Israeli equipment.
The tactics are still the same, Adidas T-shirt + RPG
Hamas demonstrates fresh footage of the destruction of Israeli armored vehicles in urban areas of Gaza.
View attachment 2808194
Wewe punguani kweli eti Hamas wameleta matatizo kwa Wapalestina Hamas imeanzishwa lini? West Bank kuna Hamas umeanza kufuatiioa huu mgongoro JF. Jinga kabisa wewe zadi ya miaka 50 Wapalestina wanateswa na mabasha zako.Yaani hali ya Gaza inavyotia huruma bado tu wafia dini mnawasifia Hamas walioleta matatizo kwa wapalestina?
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Gaza inarudi chini ya udhibiti wa Israel kama ilivyo west Bank, hakuna Uhuru hapo.Hatimaye Gaza inaenda kuwa huru, na wananchi wataishi kwa amani
Asante sana Al sahafu wa Hamas. Die hard fanWanaukumbi.
-----
136 enemy military vehicles were destroyed by the resistance
Abu Obeidah, the spokesman of the Qassam battalions:
We have completely and partially destroyed 136 enemy military vehicles and stopped them from continuing the operation.
Our Mujahideen destroy vehicles and cause many deaths and injuries in the ranks of the enemy.
In the next few minutes, we will show a corner of the greatness of our Mujahideen and their battle with the enemy in the buildings and the hunting of tanks and their destruction.
These actions are only the tip of the iceberg that our mujahids do.
Hamas fighters continue to burn Israeli equipment.
The tactics are still the same, Adidas T-shirt + RPG
Hamas demonstrates fresh footage of the destruction of Israeli armored vehicles in urban areas of Gaza.
View attachment 2808194
Ila kiuhalisia wamefanya resistance ambayo haikutegemewa. Nadhani hawa si Hamas kutakuwa kuna Jeshi jingine zaidi ya Hamas linapigana vita hii na Israel.Wana muda gani wa kuhesabu wanaishi mashimoni kama panya?
Hivi umejiuliza haya?Ila kiuhalisia wamefanya resistance ambayo haikutegemewa. Nadhani hawa si Hamas kutakuwa kuna Jeshi jingine zaidi ya Hamas linapigana vita hii na Israel.
We mji unaenda unazungumzia mateka. Nani kakuambia mateka ni big deal kwa Israel. Wao wanakuambia wanataka miaka 50 ijayo wakumbuke hiki kichapo. Hamas nimarufuku kuwepo hapo. Hamas wenyewe jana wameomba kichapo kipungue wawaachie baadhi ya mateka.Vipi mateka wamekombolewa? Mwezi sasa wanamgambo 10.000 wenye silaha za kienyeji mabasha zako wameshindwa wameishia kuuwa watoto na wanawake na kupiga mabomu hospital na shule.