HAMAS: Tumeharibu kabisa kwa kiasi magari 136 ya jeshi la adui na kuwazuia kuendelea na operesheni

HAMAS: Tumeharibu kabisa kwa kiasi magari 136 ya jeshi la adui na kuwazuia kuendelea na operesheni

Wewe punguani kweli eti Hamas wameleta matatizo kwa Wapalestina Hamas imeanzishwa lini? West Bank kuna Hamas umeanza kufuatiioa huu mgongoro JF. Jinga kabisa wewe zadi ya miaka 50 Wapalestina wanateswa na mabasha zako.
Jazba za nini shehe embu pata kikombe cha gahawa kwanza tafakari kwanza hawa Hamas walipiga hesabu zao vibaya ukikujua kuanzisha vita jua na kumalizia vita Hamas walianzisha hii vita October 7 na wafia dini walimshukuru Allah amewasaidia kumpiga myahudi sasa kelele za nini wakati Israel anajibu mashambulizi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Wewe Muisrael mweusi wa Kimara temboni hauna unachokijua zaidi ya ushabiki mandazi.
Endelea kucheza baada ya kuangalia hii video.

Israeli helicopters land in the courtyard of Assuta Hospital in Ashdod, carrying dead and seriously injured soldiers.
Kwaiyo wewe n Mpalestina mweupe sio
 
Pamoja na kulipuliwa kanisa na hospital, na wafanyakazi wa UN kuuawa, lakini bado hawaelewi, chuki zewajaa vifuani mwao hata ukiwaambia vipi lakini hawaelewi.

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
Msikilize huyu jamaa Mtoto wa mmoja wa makamanda wa hamas.


View: https://www.instagram.com/reel/CzHD6OCI6u3/?igshid=d3NqZDJ6bjdlYzdm
 
Wanaukumbi.

-----

136 enemy military vehicles were destroyed by the resistance

Abu Obeidah, the spokesman of the Qassam battalions:

We have completely and partially destroyed 136 enemy military vehicles and stopped them from continuing the operation.

Our Mujahideen destroy vehicles and cause many deaths and injuries in the ranks of the enemy.

In the next few minutes, we will show a corner of the greatness of our Mujahideen and their battle with the enemy in the buildings and the hunting of tanks and their destruction.

These actions are only the tip of the iceberg that our mujahids do.

Hamas fighters continue to burn Israeli equipment.

The tactics are still the same, Adidas T-shirt + RPG

Hamas demonstrates fresh footage of the destruction of Israeli armored vehicles in urban areas of Gaza.

View attachment 2808194
ndugu yng ndugu yng...! Shauli yako
 
Wewe Muisrael mweusi wa Kimara temboni hauna unachokijua zaidi ya ushabiki mandazi.
Endelea kucheza baada ya kuangalia hii video.

Israeli helicopters land in the courtyard of Assuta Hospital in Ashdod, carrying dead and seriously injured soldiers.
Wewe ni mpalestina mweusi wa wapi?
 
narudia Tena propaganda za kitoto mpelekee ayatollah wa Iran [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Unabisha nini wewe vitu vipo wazi??
Kila siku wanajeshi wa IDF wanakufa na Israel inaficha idadi.
Jiulize Kambi ya shebah iliolipuliwa na hizbollah vipi mbona IDF hawakutoa ripoti ya vifo??
Halafu Kila siku wanabadilisha ripoti ya vifo tokea October 7.
ISRAEL VITA HAIWEZI ANAUA RAIA KUJIFARIJI ILA KIUKWELI ANAPIGIKA UTAKE USITAKE
 
Jitahidi basi uache hata kuvaa suruali za watoto shekh 😂😂
Hoja za vitq zimeisha vipi kumwaga maji kwenye mahandaki nasikia mabasha zako wameacha baada kuona watawapa Hamas maji ya kuoga😂
 
Hamas lazima wafurushwe na hizo propaganda hazitasaidia chochote,maana jeshi la taifa teule la israel lipo mjini Gaza kuendelea kufanya ukombozi wa Gaza kutoka mikononi mwa magaidi.
Nimeona wamalekamatwa mateka wengi sana ,nahdani sasa watatahuriwa wajisalimishe.
Idf imezingira kila kona ya Gaza.
 
Wanaukumbi.

-----

136 enemy military vehicles were destroyed by the resistance

Abu Obeidah, the spokesman of the Qassam battalions:

We have completely and partially destroyed 136 enemy military vehicles and stopped them from continuing the operation.

Our Mujahideen destroy vehicles and cause many deaths and injuries in the ranks of the enemy.

In the next few minutes, we will show a corner of the greatness of our Mujahideen and their battle with the enemy in the buildings and the hunting of tanks and their destruction.

These actions are only the tip of the iceberg that our mujahids do.

Hamas fighters continue to burn Israeli equipment.

The tactics are still the same, Adidas T-shirt + RPG

Hamas demonstrates fresh footage of the destruction of Israeli armored vehicles in urban areas of Gaza.

View attachment 2808194
You bark too much
 
Unabisha nini wewe vitu vipo wazi??
Kila siku wanajeshi wa IDF wanakufa na Israel inaficha idadi.
Jiulize Kambi ya shebah iliolipuliwa na hizbollah vipi mbona IDF hawakutoa ripoti ya vifo??
Halafu Kila siku wanabadilisha ripoti ya vifo tokea October 7.
ISRAEL VITA HAIWEZI ANAUA RAIA KUJIFARIJI ILA KIUKWELI ANAPIGIKA UTAKE USITAKE
Mazayuni yanakufa kwa maelfu.Makomandoo wa Hizbollah wamo ndani ya Israel wanachakaza balaa.Iarael vita hawezi kabisa.Hadi sasa hajaua Hamas hata mmoja anakamata wananchi na kuua watoto tuu.Wiki mbili zijazo Hamas watayamaliza mazayuni kabisa
 
Back
Top Bottom