HAMAS: Tuna uhakika taifa la Palestna litashinda vita na wavamizi Wazayuni

HAMAS: Tuna uhakika taifa la Palestna litashinda vita na wavamizi Wazayuni

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288

Nov 05, 2023 06:46 UTC

  • HAMAS: Tuna uhakika taifa la Palestna litashinda vita na wavamizi Wazayuni
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, harakati hiyo ina uhakika wa kuushinda utawala wa Kizayuni katika vita vinavyoendelea Ghaza hivi sasa.
Televisheni ya Al Jazeera imemnukuu, Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa ngazi za juu ya harakati ya HAMAS akisema kuwa ana uhakika wa kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita vya #Kimbunga_cha_al-Aqsa.
Amesema: Wavamizi hawajaweza kufanikisha hata lengo moja la kijeshi. Wanachofanya wao ni kushambulia maeneo ya raia na kuua watu wasio na hatia. Mamia ya wanajeshi wa Israel wameangamizwa na kujeruhiwa. Pamoja na kwamba viongozi wa Israel wanachuja sana habari na wanaficha idadi halisi ya wanajeshi wao wanaongamizwa na kujeruhiwa, lakini idadi ni kubwa kiasi kwamba inakuwa vigumu kuficha kila kitu.
4c0q42fb2f7c6020vyf_800C450.jpg
Makomandoo wa HAMAS

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Osama Hamdan amesema: "Ulimwengu unashuhudia jinai kubwa za utawala wa Kizayuni unaoikalia kwa mabavu Baytul Muqaddas, lakini haufanyi lolote. Wapalestina kamwe hawataamini kuwa amani itapatikana bila ya kuangamizwa utawala unaoukalia kwa mabavu wa Quds Tukukfu."
Vile vile amesema: Utawala unaoikalia kwa mabavu wa Quds umeshashambulia vituo 105 vya afya na tiba na kuziondoa kikamilifu hospitali 5 katika mchakato wa kutoa huduma. Hospitali katika Ukanda wa Gaza hazina uwezo wa kupokea idadi kubwa ya watu wanaoojeruhiwa. Tunazilaumu Marekani na rais wake kwa kuhusika moja kwa moja katika mauaji ya kijinai ya wananchi wa Ghaza.
Ameongeza kwa kusema: "Misaada inayoingia Ghaza kupitia kivuko cha Rafah haikidhi hata mahitaji ya chini kabisa ya watu wetu. Misimamo rasmi ya nchi za Kiarabu ni dhaifu na hailingani na jinai zinazotendwa na adui. Tunataka Marekani ishinikizwe zaidi ili ikomeshe jinai na uhalifu dhidi ya taifa letu."
 
Vita sio vizuri...watu wanakufaaa sanaaa Watoto na wanawake mbayaaaa
 
Tunaitikia dua amin Palastine ashinde vita hii
 

Nov 05, 2023 06:46 UTC

  • HAMAS: Tuna uhakika taifa la Palestna litashinda vita na wavamizi Wazayuni
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, harakati hiyo ina uhakika wa kuushinda utawala wa Kizayuni katika vita vinavyoendelea Ghaza hivi sasa.
Televisheni ya Al Jazeera imemnukuu, Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa ngazi za juu ya harakati ya HAMAS akisema kuwa ana uhakika wa kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita vya #Kimbunga_cha_al-Aqsa.
Amesema: Wavamizi hawajaweza kufanikisha hata lengo moja la kijeshi. Wanachofanya wao ni kushambulia maeneo ya raia na kuua watu wasio na hatia. Mamia ya wanajeshi wa Israel wameangamizwa na kujeruhiwa. Pamoja na kwamba viongozi wa Israel wanachuja sana habari na wanaficha idadi halisi ya wanajeshi wao wanaongamizwa na kujeruhiwa, lakini idadi ni kubwa kiasi kwamba inakuwa vigumu kuficha kila kitu.
4c0q42fb2f7c6020vyf_800C450.jpg
Makomandoo wa HAMAS

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Osama Hamdan amesema: "Ulimwengu unashuhudia jinai kubwa za utawala wa Kizayuni unaoikalia kwa mabavu Baytul Muqaddas, lakini haufanyi lolote. Wapalestina kamwe hawataamini kuwa amani itapatikana bila ya kuangamizwa utawala unaoukalia kwa mabavu wa Quds Tukukfu."
Vile vile amesema: Utawala unaoikalia kwa mabavu wa Quds umeshashambulia vituo 105 vya afya na tiba na kuziondoa kikamilifu hospitali 5 katika mchakato wa kutoa huduma. Hospitali katika Ukanda wa Gaza hazina uwezo wa kupokea idadi kubwa ya watu wanaoojeruhiwa. Tunazilaumu Marekani na rais wake kwa kuhusika moja kwa moja katika mauaji ya kijinai ya wananchi wa Ghaza.
Ameongeza kwa kusema: "Misaada inayoingia Ghaza kupitia kivuko cha Rafah haikidhi hata mahitaji ya chini kabisa ya watu wetu. Misimamo rasmi ya nchi za Kiarabu ni dhaifu na hailingani na jinai zinazotendwa na adui. Tunataka Marekani ishinikizwe zaidi ili ikomeshe jinai na uhalifu dhidi ya taifa letu."
Kama Hamas watashinda na wanaendelea kuangamiza wanajeshi wa Israel sasa mnaomba cease fire ya Nini?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Maadamu Israeli anachezea kichapo basi ninyi wavaa kobazi na vipedo msituchoshe na kelele za"Ceasefire" 🤔
Israel anaua watoto waislam wa Palestina wanawaua majeshi. Wewe ni papa nini?
 

Nov 05, 2023 06:46 UTC

  • HAMAS: Tuna uhakika taifa la Palestna litashinda vita na wavamizi Wazayuni
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, harakati hiyo ina uhakika wa kuushinda utawala wa Kizayuni katika vita vinavyoendelea Ghaza hivi sasa.
Televisheni ya Al Jazeera imemnukuu, Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa ngazi za juu ya harakati ya HAMAS akisema kuwa ana uhakika wa kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita vya #Kimbunga_cha_al-Aqsa.
Amesema: Wavamizi hawajaweza kufanikisha hata lengo moja la kijeshi. Wanachofanya wao ni kushambulia maeneo ya raia na kuua watu wasio na hatia. Mamia ya wanajeshi wa Israel wameangamizwa na kujeruhiwa. Pamoja na kwamba viongozi wa Israel wanachuja sana habari na wanaficha idadi halisi ya wanajeshi wao wanaongamizwa na kujeruhiwa, lakini idadi ni kubwa kiasi kwamba inakuwa vigumu kuficha kila kitu.
4c0q42fb2f7c6020vyf_800C450.jpg
Makomandoo wa HAMAS

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Osama Hamdan amesema: "Ulimwengu unashuhudia jinai kubwa za utawala wa Kizayuni unaoikalia kwa mabavu Baytul Muqaddas, lakini haufanyi lolote. Wapalestina kamwe hawataamini kuwa amani itapatikana bila ya kuangamizwa utawala unaoukalia kwa mabavu wa Quds Tukukfu."
Vile vile amesema: Utawala unaoikalia kwa mabavu wa Quds umeshashambulia vituo 105 vya afya na tiba na kuziondoa kikamilifu hospitali 5 katika mchakato wa kutoa huduma. Hospitali katika Ukanda wa Gaza hazina uwezo wa kupokea idadi kubwa ya watu wanaoojeruhiwa. Tunazilaumu Marekani na rais wake kwa kuhusika moja kwa moja katika mauaji ya kijinai ya wananchi wa Ghaza.
Ameongeza kwa kusema: "Misaada inayoingia Ghaza kupitia kivuko cha Rafah haikidhi hata mahitaji ya chini kabisa ya watu wetu. Misimamo rasmi ya nchi za Kiarabu ni dhaifu na hailingani na jinai zinazotendwa na adui. Tunataka Marekani ishinikizwe zaidi ili ikomeshe jinai na uhalifu dhidi ya taifa letu."

Sio mbaya kujifariji huku una teketea,baada ya vita hii gaza haitokua ile.
 

Nov 05, 2023 06:46 UTC

  • HAMAS: Tuna uhakika taifa la Palestna litashinda vita na wavamizi Wazayuni
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, harakati hiyo ina uhakika wa kuushinda utawala wa Kizayuni katika vita vinavyoendelea Ghaza hivi sasa.
Televisheni ya Al Jazeera imemnukuu, Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa ngazi za juu ya harakati ya HAMAS akisema kuwa ana uhakika wa kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita vya #Kimbunga_cha_al-Aqsa.
Amesema: Wavamizi hawajaweza kufanikisha hata lengo moja la kijeshi. Wanachofanya wao ni kushambulia maeneo ya raia na kuua watu wasio na hatia. Mamia ya wanajeshi wa Israel wameangamizwa na kujeruhiwa. Pamoja na kwamba viongozi wa Israel wanachuja sana habari na wanaficha idadi halisi ya wanajeshi wao wanaongamizwa na kujeruhiwa, lakini idadi ni kubwa kiasi kwamba inakuwa vigumu kuficha kila kitu.
4c0q42fb2f7c6020vyf_800C450.jpg
Makomandoo wa HAMAS

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Osama Hamdan amesema: "Ulimwengu unashuhudia jinai kubwa za utawala wa Kizayuni unaoikalia kwa mabavu Baytul Muqaddas, lakini haufanyi lolote. Wapalestina kamwe hawataamini kuwa amani itapatikana bila ya kuangamizwa utawala unaoukalia kwa mabavu wa Quds Tukukfu."
Vile vile amesema: Utawala unaoikalia kwa mabavu wa Quds umeshashambulia vituo 105 vya afya na tiba na kuziondoa kikamilifu hospitali 5 katika mchakato wa kutoa huduma. Hospitali katika Ukanda wa Gaza hazina uwezo wa kupokea idadi kubwa ya watu wanaoojeruhiwa. Tunazilaumu Marekani na rais wake kwa kuhusika moja kwa moja katika mauaji ya kijinai ya wananchi wa Ghaza.
Ameongeza kwa kusema: "Misaada inayoingia Ghaza kupitia kivuko cha Rafah haikidhi hata mahitaji ya chini kabisa ya watu wetu. Misimamo rasmi ya nchi za Kiarabu ni dhaifu na hailingani na jinai zinazotendwa na adui. Tunataka Marekani ishinikizwe zaidi ili ikomeshe jinai na uhalifu dhidi ya taifa letu."
Wewe ni mgonjwa kweli wa malaria, Palestina ishinde nini, wakati wanaume wote wamezama wamegeuka panya na kuingia shimoni, mji waliobakia ni wanawake na watoto ndio mmeshinde, Hamas wajinga kweli
 

Nov 05, 2023 06:46 UTC

  • HAMAS: Tuna uhakika taifa la Palestna litashinda vita na wavamizi Wazayuni
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, harakati hiyo ina uhakika wa kuushinda utawala wa Kizayuni katika vita vinavyoendelea Ghaza hivi sasa.
Televisheni ya Al Jazeera imemnukuu, Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa ngazi za juu ya harakati ya HAMAS akisema kuwa ana uhakika wa kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita vya #Kimbunga_cha_al-Aqsa.
Amesema: Wavamizi hawajaweza kufanikisha hata lengo moja la kijeshi. Wanachofanya wao ni kushambulia maeneo ya raia na kuua watu wasio na hatia. Mamia ya wanajeshi wa Israel wameangamizwa na kujeruhiwa. Pamoja na kwamba viongozi wa Israel wanachuja sana habari na wanaficha idadi halisi ya wanajeshi wao wanaongamizwa na kujeruhiwa, lakini idadi ni kubwa kiasi kwamba inakuwa vigumu kuficha kila kitu.
4c0q42fb2f7c6020vyf_800C450.jpg
Makomandoo wa HAMAS

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Osama Hamdan amesema: "Ulimwengu unashuhudia jinai kubwa za utawala wa Kizayuni unaoikalia kwa mabavu Baytul Muqaddas, lakini haufanyi lolote. Wapalestina kamwe hawataamini kuwa amani itapatikana bila ya kuangamizwa utawala unaoukalia kwa mabavu wa Quds Tukukfu."
Vile vile amesema: Utawala unaoikalia kwa mabavu wa Quds umeshashambulia vituo 105 vya afya na tiba na kuziondoa kikamilifu hospitali 5 katika mchakato wa kutoa huduma. Hospitali katika Ukanda wa Gaza hazina uwezo wa kupokea idadi kubwa ya watu wanaoojeruhiwa. Tunazilaumu Marekani na rais wake kwa kuhusika moja kwa moja katika mauaji ya kijinai ya wananchi wa Ghaza.
Ameongeza kwa kusema: "Misaada inayoingia Ghaza kupitia kivuko cha Rafah haikidhi hata mahitaji ya chini kabisa ya watu wetu. Misimamo rasmi ya nchi za Kiarabu ni dhaifu na hailingani na jinai zinazotendwa na adui. Tunataka Marekani ishinikizwe zaidi ili ikomeshe jinai na uhalifu dhidi ya taifa letu."
Hizo picha Hamas walipiga miaka ya nyuma, tunataka picha zao wakiwa mzigoni saiz kama kweli ni wanaume wa kushinda vita.

Aljazeera nao ni kundi la Hamas tu, walienda shimoni kumnukuu? make Gaza wanaume wa IDF ndio wanatawala sahivi😁😁😁😁😁😁
 
Hizo picha Hamas walipiga miaka ya nyuma, tunataka picha zao wakiwa mzigoni saiz kama kweli ni wanaume wa kushinda vita.

Aljazeera nao ni kundi la Hamas tu, walienda shimoni kumnukuu? make Gaza wanaume wa IDF ndio wanatawala sahivi😁😁😁😁😁😁
Inafurahisha Sana Jinsi wachambuzi Wenye akili mnavyong'amua propaganda za wavaa vipedo.
Kudos Mkuu.
 
Marehemu anajipa moyo [emoji23][emoji1787][emoji1787] Na aaikua hamsikilizi dokta ....kabla ya kuomba israel iwasamehe wanajitutumua acha iwanyeshee
 
Netanyahu ameshaliambia Taifa kuwa hivi Vita vitachukua muda Mrefu na Vigumu lakini Israel itashinda!
 

Nov 05, 2023 06:46 UTC

  • HAMAS: Tuna uhakika taifa la Palestna litashinda vita na wavamizi Wazayuni
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, harakati hiyo ina uhakika wa kuushinda utawala wa Kizayuni katika vita vinavyoendelea Ghaza hivi sasa.
Televisheni ya Al Jazeera imemnukuu, Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa ngazi za juu ya harakati ya HAMAS akisema kuwa ana uhakika wa kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita vya #Kimbunga_cha_al-Aqsa.
Amesema: Wavamizi hawajaweza kufanikisha hata lengo moja la kijeshi. Wanachofanya wao ni kushambulia maeneo ya raia na kuua watu wasio na hatia. Mamia ya wanajeshi wa Israel wameangamizwa na kujeruhiwa. Pamoja na kwamba viongozi wa Israel wanachuja sana habari na wanaficha idadi halisi ya wanajeshi wao wanaongamizwa na kujeruhiwa, lakini idadi ni kubwa kiasi kwamba inakuwa vigumu kuficha kila kitu.
4c0q42fb2f7c6020vyf_800C450.jpg
Makomandoo wa HAMAS

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Osama Hamdan amesema: "Ulimwengu unashuhudia jinai kubwa za utawala wa Kizayuni unaoikalia kwa mabavu Baytul Muqaddas, lakini haufanyi lolote. Wapalestina kamwe hawataamini kuwa amani itapatikana bila ya kuangamizwa utawala unaoukalia kwa mabavu wa Quds Tukukfu."
Vile vile amesema: Utawala unaoikalia kwa mabavu wa Quds umeshashambulia vituo 105 vya afya na tiba na kuziondoa kikamilifu hospitali 5 katika mchakato wa kutoa huduma. Hospitali katika Ukanda wa Gaza hazina uwezo wa kupokea idadi kubwa ya watu wanaoojeruhiwa. Tunazilaumu Marekani na rais wake kwa kuhusika moja kwa moja katika mauaji ya kijinai ya wananchi wa Ghaza.
Ameongeza kwa kusema: "Misaada inayoingia Ghaza kupitia kivuko cha Rafah haikidhi hata mahitaji ya chini kabisa ya watu wetu. Misimamo rasmi ya nchi za Kiarabu ni dhaifu na hailingani na jinai zinazotendwa na adui. Tunataka Marekani ishinikizwe zaidi ili ikomeshe jinai na uhalifu dhidi ya taifa letu."
Kama anajua watashinda watulie basi waache kutia tia huruma.
 
Tunajua hiyo ni psychological tactics ili kuwatia nguvu wapiganaji wa hamas kugangamala lakini all in all wanapaswa kujua wanapigana na nani na mpizani wao ana nguvu kiasi gani na nani yuko nyuma yake,vinginevyo wanafanya raia wateseke .huku Gaza ikigeuka kuwa skeleton
 
Back
Top Bottom