Hamas wafanye Kama Fatah/PLO ilivyofanya mwaka 1982

Hamas wafanye Kama Fatah/PLO ilivyofanya mwaka 1982

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Mwaka 1982 kulikuwepo na vita Kali kati ya Fatah/ PLO ya Yasser Arafat na Israel ndani ya Lebanon. Fatah wakazungukwa na majeshi ya Israel ili wamalizww ndipo Fatah/ PLO wakaomba umoja wa mataifa uwasaidie waondoke ndani ya Lebanon. Ndipo umoja wa mataifa ukakubaliana na Israel isiendelee kuwashambulia Fatah na Fatah waondoke ndani ya Lebanon wahamie Tunisia. Hivyo mwaka 1982 majeshi ya Fatah na vifaru vyao wakahamia Tunisia na Makao makuu yao yakawa Tunis, mpaka pale walipokuja kuitambua Israel na kuanzisha mamlaka ya Palestina kwenye miaka ya mwanzo ya 90.

Nashauri Hamas wachukue mkondo huo. Waombe kuondoka Gaza na kuwaacha raia kwa amani , wakubali kuhamishia makao yao Misri kwa muda mpaka amani ya kudumu ipatikane.
 
Mwaka 1982 kulikuwepo na vita Kali kati ya Fatah/ PLO ya Yasser Arafat na Israel ndani ya Lebanon. Fatah wakazungukwa na majeshi ya Israel ili wamalizww ndipo Fatah/ PLO wakaomba umoja wa mataifa uwasaidie waondoke ndani ya Lebanon. Ndipo umoja wa mataifa ukakubaliana na Israel isiendelee kuwashambulia Fatah na Fatah waondoke ndani ya Lebanon wahamie Tunisia. Hivyo mwaka 1982 majeshi ya Fatah na vifaru vyao wakahamia Tunisia na Makao makuu yao yakawa Tunis, mpaka pale walipokuja kuitambua Israel na kuanzisha mamlaka ya Palestina kwenye miaka ya mwanzo ya 90.

Nashauri Hamas wachukue mkondo huo. Waombe kuondoka Gaza na kuwaacha raia kwa amani , wakubali kuhamishia makao yao Misri kwa muda mpaka amani ya kudumu ipatikane.
Wazo zuri vinginevyo wataisha wote
 
Wewe ukiambiwa uondoke hapo tandale kwa tumbo ulipozaliwa ukasoma ukakua utakubali kirahisi mkuu...ukishiba lala .
Maisha popote wewe wahindu,waarabu na wapemba wangekuwa na mawazo ya kushirikina kama yako kuwa wasitoke kwao leo hii wangekuwa maskini wa kutupwa huko uarabuni,India au Pemba

Tusingekuwa hata na Bakheresa mpemba bilionea au Mo Dewji bikionea au wahindi matajiri
 
Mwaka 1982 kulikuwepo na vita Kali kati ya Fatah/ PLO ya Yasser Arafat na Israel ndani ya Lebanon. Fatah wakazungukwa na majeshi ya Israel ili wamalizww ndipo Fatah/ PLO wakaomba umoja wa mataifa uwasaidie waondoke ndani ya Lebanon. Ndipo umoja wa mataifa ukakubaliana na Israel isiendelee kuwashambulia Fatah na Fatah waondoke ndani ya Lebanon wahamie Tunisia. Hivyo mwaka 1982 majeshi ya Fatah na vifaru vyao wakahamia Tunisia na Makao makuu yao yakawa Tunis, mpaka pale walipokuja kuitambua Israel na kuanzisha mamlaka ya Palestina kwenye miaka ya mwanzo ya 90.

Nashauri Hamas wachukue mkondo huo. Waombe kuondoka Gaza na kuwaacha raia kwa amani , wakubali kuhamishia makao yao Misri kwa muda mpaka amani ya kudumu ipatikane.
Hamas na wote wanaowaunga mkono kwenye harakati za vita hawataki kuitambua Israel kama taifa halali kuwepo mashariki ya kati. Hili linafanya mazungumzo kuwa magumu.
 
Hamas na wote wanaowaunga mkono kwenye harakati za vita hawataki kuitambua Israel kama taifa halali kuwepo mashariki ya kati. Hili linafanya mazungumzo kuwa magumu.

Kweli kabisa. Hamas ni kikwazo sana
 
Kama ulishawahi kukutana na hii ramani hupaswi kuwashauri hivyo, wakiondoka tu hata ule ukuta wa Gaza utavunjwa na itakuwa ni rasmi eneo la Israel.
8o630k6t0vsb1.png
 
Mwaka 1982 kulikuwepo na vita Kali kati ya Fatah/ PLO ya Yasser Arafat na Israel ndani ya Lebanon. Fatah wakazungukwa na majeshi ya Israel ili wamalizww ndipo Fatah/ PLO wakaomba umoja wa mataifa uwasaidie waondoke ndani ya Lebanon. Ndipo umoja wa mataifa ukakubaliana na Israel isiendelee kuwashambulia Fatah na Fatah waondoke ndani ya Lebanon wahamie Tunisia. Hivyo mwaka 1982 majeshi ya Fatah na vifaru vyao wakahamia Tunisia na Makao makuu yao yakawa Tunis, mpaka pale walipokuja kuitambua Israel na kuanzisha mamlaka ya Palestina kwenye miaka ya mwanzo ya 90.

Nashauri Hamas wachukue mkondo huo. Waombe kuondoka Gaza na kuwaacha raia kwa amani , wakubali kuhamishia makao yao Misri kwa muda mpaka amani ya kudumu ipatikane.
hamas na wapalestina wote wanatakiwa kwenda jordan,ndio nchi yao. na kule ndiko kwa wenzao. basi. nchi ile yote ni ya wayahudi.
 
Mwaka 1982 kulikuwepo na vita Kali kati ya Fatah/ PLO ya Yasser Arafat na Israel ndani ya Lebanon. Fatah wakazungukwa na majeshi ya Israel ili wamalizww ndipo Fatah/ PLO wakaomba umoja wa mataifa uwasaidie waondoke ndani ya Lebanon. Ndipo umoja wa mataifa ukakubaliana na Israel isiendelee kuwashambulia Fatah na Fatah waondoke ndani ya Lebanon wahamie Tunisia. Hivyo mwaka 1982 majeshi ya Fatah na vifaru vyao wakahamia Tunisia na Makao makuu yao yakawa Tunis, mpaka pale walipokuja kuitambua Israel na kuanzisha mamlaka ya Palestina kwenye miaka ya mwanzo ya 90.

Nashauri Hamas wachukue mkondo huo. Waombe kuondoka Gaza na kuwaacha raia kwa amani , wakubali kuhamishia makao yao Misri kwa muda mpaka amani ya kudumu ipatikane.
Unashauri haya ukiwa wapi?! Kwenye battle ground huko Gaza au ukiwa nyuma ya keyboard hapa Tanzania?! Unadhani wenzako hadi wanaingia vitani hawajui hizi options zako?
 
Wewe ukiambiwa uondoke hapo tandale kwa tumbo ulipozaliwa ukasoma ukakua utakubali kirahisi mkuu...ukishiba lala .
Kama hakuna amani naondoka nikajipange upya sehemu nyingine huko..hii dunia ni yetu sote yanini kubanana sehemu moja na kuuwana uwana ni ujuha.
 
Kuna unabii unasema, Israel itaichukua Gaza yote na Palestine,

Kisha wapalestina watahamia Tunisia, na Tunisia watakuja East Africa Nchi Fulani na kutaka kubadili iwe Nchi ya kiislamu na kurudisha utumwa,

Ndipo moto utawaka sana kuwafukuza Watunisia.

Tusubiri.
 
Kwan wapalestina wako wangapi? Huku africa kuna mapande makubwa ya Ardhi. Kama vipi tuwagawie tu waanzishe nchi yao hapo
 
Mwaka 1982 kulikuwepo na vita Kali kati ya Fatah/ PLO ya Yasser Arafat na Israel ndani ya Lebanon. Fatah wakazungukwa na majeshi ya Israel ili wamalizww ndipo Fatah/ PLO wakaomba umoja wa mataifa uwasaidie waondoke ndani ya Lebanon. Ndipo umoja wa mataifa ukakubaliana na Israel isiendelee kuwashambulia Fatah na Fatah waondoke ndani ya Lebanon wahamie Tunisia. Hivyo mwaka 1982 majeshi ya Fatah na vifaru vyao wakahamia Tunisia na Makao makuu yao yakawa Tunis, mpaka pale walipokuja kuitambua Israel na kuanzisha mamlaka ya Palestina kwenye miaka ya mwanzo ya 90.

Nashauri Hamas wachukue mkondo huo. Waombe kuondoka Gaza na kuwaacha raia kwa amani , wakubali kuhamishia makao yao Misri kwa muda mpaka amani ya kudumu ipatikane.
Unawaingiza mkenge wewe hivi Israel ni wa kutaka amani?
 
Kuna unabii unasema, Israel itaichukua Gaza yote na Palestine,

Kisha wapalestina watahamia Tunisia, na Tunisia watakuja East Africa Nchi Fulani na kutaka kubadili iwe Nchi ya kiislamu na kurudisha utumwa,

Ndipo moto utawaka sana kuwafukuza Watunisia.

Tusubiri.
cha muhimu ni kwamba hao watunisia hawatakuja bongo. hopefully. labda waende uganda au rwanda au kenya.
 
cha muhimu ni kwamba hao watunisia hawatakuja bongo. hopefully. labda waende uganda au rwanda au kenya.
Wamepanga kuja huku huku, mlango ni Hawa Hawa viongozi wanaamini usultani na udini, huo mkataba uliopigiwa kelele sana wa bandari, Kwa Siri ndio Mpango mkubwa huo.

Kwingine hakuna ardhi ya kutosha na raslimali wazitakazo zaidi ya hapa.

Nchi hii ni makimbilio ya wengi.

Lakini Mungu ni Mwema, ajaye 2025 hatorubusu Hilo Kutokea, hapa ni Nchi ya AGANO la Mwisho siku hizi za utawala wa Kristo duniani kabla ya UNYAKUO.
 
Back
Top Bottom