HAMAS wakiri kupoteza magaidi 6,000

HAMAS wakiri kupoteza magaidi 6,000

Ukweli usemwe, hakuna kiumbe dunia hii anaweza fuata sheria za hiyo dini yenu, hata muasisi mwarabu mwenyewe hakuweza kuzifuata.
Hapo ulipo utakuta umengemana na watu wasio wasilamu, hiyo tayari ni dhambi, unapaswa uwachinje kama mlivyoelekezwa....
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Kama mjanja usife. Hapo tutakujua wewe kidume
 
Kila mmoja atapambana na hali yake/
Kila mmoja atabeba msalaba wake
 
Ni huzuri kuona wanadamu wa pande zote mbili wanakufa, bila kumpokea Mwokozi wa ulimwengu huu, that means wanaenda moja kwa moja jehanum ya moto. Mungu wetu, Mungu wa kweli hafurahii kifo cha mwenye dhambi, hata kama sisi tutafurahia kwamba gaidi au mwizi au mchawi kafa, Mungu hafurahii, anatamani kila mmoja wetu atubu asafishwe moyo ili kama akifa basi akaurithi uzima wa milele au kama ataendelea kuishi aishi akiwa mikononi mwa Mungu, sio mikononi mwa Ibilisi.

Imagine, 6,000 wote wamekufa wakiamini imani ya uongo kabisa, ya mungu baal, mungu wa kiarabu asiyeweza kuokoa hata unywele tu, na kwa wayahudi, wote waliokufa iwe kwa october 7 au wakati wa vita, hawamwamini Yesu Kristo, wanaishi kwa kufuata matendo ya mwili (kama tu wafanyavyo wasabato), wamesahau kuwa kwa matendo ya mwili (sheria) hapana mwenye mwili atakayempendeza Mungu, tumeokolewa kwa neema na sio kwa kujitahidi kufanya matendo mema kwa nguvu zetu, ajabu yake, Mungu ameleta mlango wa neema, lakini watu bado wanakimbilia mlango wa kuhesabiwa haki kwa matendo ya sheria, ambako tulishashindwa hadi Mungu akaunda mlango wa Neema, ni neema tu ya Mungu tunashinda dhambi, na pale tunapokosea tukirejea kwake kwa kutubu kwa kumaanisha kuacha dhambi anatusamehe na tunakuwa wasafi tena.

nawasihi nyote mtakaosoma hapa, kama haujaokoka jua kuwa siku yeyote ukifa unaenda moja kwa moja motoni, wokovu umeletwa kwa hiari, uchague uzima au mauti, vyote vipo mbele yako, kwa kuwa "Ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu"(Rum. 10:9-18).

Unachotakiwa kufanya ni kumkiri ukimaanisha sasa kumpa maisha yako ayaongoze, yeye atakupatia Roho Mtakatifu ambaye atakuongoza uishi maisha masafi na utakuwa na uhakika wa uzima wa milele. pia itakupasa ujiunge na watu wenye imani sawa na wewe, imani ya wokovu ili uukulie wokovu. wengi huwa wanakuwa wabishi hadi siku wakikamatika na magonjwa au hatari fulani wanakumbuka shuka kukiwa kumeshakucha. 2 Wakorintho; inasema, Kwa maana asema, wakati uliokubalika nalikusikia, siku ya wokuvu nalikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama siku ya wokovu ndio sasa. usiseme nitaokoka kesho, okoka leo, kwasababu hujui utakufa kifo cha ghafla ukaenda mautini na mapombe yako, na uzinzi wako na dhurma zako n.k, kifo hakipigi hodi, wengine wanaamka asubuhi na mipango kibao, wanafika barabarani wanagongwa na kufariki hata kabla hawajasema Mungu nisamehe dhambi, hivyo wanaenda nazo.

Mvuvi mmoja aliyewahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, mtu asiye kuwa na kisomo baada ya kushukiwa na Nguvu za Mungu, wayahudi walimwuliza, tufanye nini sasa?

Matendo 2:38 - 39 Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie.

Kama una uhitaji wa kumpokea Yesu hata sasaivi uokoke, sali sala hii pamoja na mimi: Sema,

EE MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI, MUNGU WA IBRAHIM ISAKA NA YAKOBO, NAKUJA KWAKO KWA NJIA YA KAFALA LA KIFO CHA YESU KRISTO MSALABANI, MBELE ZAKO MIMI NI MWENYE DHAMBI (ZITAJE KAMA UNAZIKUMBUKA), NAAMINI MOYONI MWANGU KWAMBA YESU KRISTO ALIKUFA KWA AJILI YA UKOMBOZI WANGU, NINAOMBA UNISAMEHE DHAMBI ZANGU ZOTE, UFUTE JILA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ANDIKA JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NINAMKIRI YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU KUANZIA SASA, NAOMBA UNIPATIE KIPAWA CHA ROHO MTAKATIFU ANIONGOZE, KUANZIA SASA MIMI NI MALI YAKO. KWA JINA LA YESU KRISTO, AMEN.

kama umeomba sala hii kwa kumaanisha moyoni mwako, sasa umeokoka, umesamehewa dhambi zako zote, na wewe ni mali ya Yesu Kristo, tafuta watu wenye imani sawa na wewe ujiunge nao ili ufundishwe wokovu, ukikosea tubu dhambi, endelea na maisha ya wokovu. Mungu akubariki.
Mungu akubariki sana kwa hii Injili ya Yesu Kristo.
 
Hapa mi ndo mnapokuwa mnanihuzunisha nyie ndugu zangu! Imani si zawadi eti mi leo niamke na niseme naamua kumzawadia imani yangu fulani! Imani ni kuridhika juu ya ukweli wa jambo lisoloonekana kwa kupitia dalili za wazi zilizoletwa na hicho kinachotakiwa kuaminiwa.

Wewe ukianza 'usipomkiri Yesu unaenda motoni...' hii ni kama kumwambia mtoto usipokula chakula chako jinamizi litakukaba usiku! badala yake wekeza katika kutoa dalili za wazi za kuthibitisha ukweli wa unachokisema. Na hizo dalili pia sio eti 'imeandikwa kuwa yeye ni muokozi n.k' manake mara nyingi ndo huwa mnaishia hapo! kama kuandikwa, waislamu wana maandiko yako, Hindu wana maandiko yao, Mayahudi wana mandiko yao, Budha wana maandiko yao n.k. Sasa kwanini mtu aamini maandiko yenu nyie na sio mengine?

The minute utapogundua imani sahihi hupatikana vipi ndio hapo utakapokomboka kiimani.
Wale ambao wamekusudiwa kwa ujumbe huu wataelewa na kuchukua hatua stahiki. Kumbuka kuwa ni kwa neema ya Mungu tu watu wanaweza kuulewa ujumbe wa Injili na kuchukua hatua stahiki mara moja bila kusita sita wala kuwa na udadisi wenye nia ya Kukosoa na si kutaka kueleweshwa.
 
Wale ambao wamekusudiwa kwa ujumbe huu wataelewa na kuchukua hatua stahiki. Kumbuka kuwa ni kwa neema ya Mungu tu watu wanaweza kuulewa ujumbe wa Injili na kuchukua hatua stahiki mara moja bila kusita sita wala kuwa na udadisi wenye nia ya Kukosoa na si kutaka kueleweshwa.
Ukisema hivyo unamaanisha wale wote waliokosa neema ya Mungu ya kuelewa hayo maandiko wanaenda kuadhibiwa kwa kosa ambalo hawakuwa na uwezo wa kuliepuka! hapo ni moja katika mawili, either imani yenu ni baseless ama mnamtuhumu Mungu kuwa anaenda kuwaadhibu watu wasio na hatia (waliokosa neema yake), Mungu anisamehe kwa kutamka maneno haya, hakika yeye ni mkamilifu.
 
Na kama dunia tumetengeneza Magaidi wengine wangapi ? Inahitaji busara sana kuweza kupigana na Magaidi; Ni kwamba kwa hii mihemko tunewapa fodder / Chakula (wanaofanya recruitment ya Magaidi)...; Kwahio hata kama ni kuua / kuwaondoa haya mambo yangefanywa kwa siri na underground sio kuyafanyia promo....
Dunia imekuwa na wadokozi,wezi,majambazi nk kwa miaka nenda rudi ndiyo maana kuna polisi wa kupambana nao kabla ya mahakama.Wajitengeneze tu watakutana na pliers zao.
 
Hadithi za waarabu bado zinakupagawisha
Nikupe hadithi nyingine, huyo 'mungu' wenu alishindwa kwenye mtanange wa nabii Elija na manabii wa huyo 'mungu' wenu.
Ni mambo ya kusikitisha.....yaani leo hii wale Idf mpaka wasaidiwe na USA kwenye kupambana na wanamgambo !!!??

Kumbe ni kweli uongo(propaganda)huwa una mwisho wake
 
Dunia imekuwa na wadokozi,wezi,majambazi nk kwa miaka nenda rudi ndiyo maana kuna polisi wa kupambana nao kabla ya mahakama.Wajitengeneze tu watakutana na pliers zao.
Unadhani kwanini Ugaidi unaanza - Kwamba Afrika Kusini wale waliokuwa wanapambana na Apartheid dawa ilikuwa kuendelea kuwamarginalize ? Kumbuka wanaendelea kuzaliwa....

Now ugaidi ni watu ambao wapo / wanadhani wapo subjugated kwahio recruitment yao kwa wengine ni kuonyesha kwamba tunaonewa....

Kinachotokea sasa hivi ni kuendelea kuwapa chakula extremists kusajiri wanachama zaidi... Na mwisho wa siku badala ya kuifanya dunia a safe place inazidi kuwa hatari.... Alternative kwa kuonyesha kwamba hawa ni wabaya ni kutumia mbinu za kiinteligensia kwa kufanya hivyo unaweza ukapata Wapelistina wenyewe wanasaidiana na dunia kuwamazila extremists Bila hivyo ni kuendelea kuwapa wateja extremists...

Kabla hata ya Wapelistina kulikuwepo na Wajapan na Kamikaze Warriors (waliambiwa kwamba hawa wavamizi wakija watauwa na ku-rape wake zenu) matokeo yake walikuwa tayari kufa kwa ajili ya kutetea jamii yao (kwahio dawa pekee ni kuonyesha kwamba kinachosemwa sicho)
 
Back
Top Bottom