HAMAS wakiri kupoteza magaidi 6,000

Kama mjanja usife. Hapo tutakujua wewe kidume
 
Kila mmoja atapambana na hali yake/
Kila mmoja atabeba msalaba wake
 
Mungu akubariki sana kwa hii Injili ya Yesu Kristo.
 
Wale ambao wamekusudiwa kwa ujumbe huu wataelewa na kuchukua hatua stahiki. Kumbuka kuwa ni kwa neema ya Mungu tu watu wanaweza kuulewa ujumbe wa Injili na kuchukua hatua stahiki mara moja bila kusita sita wala kuwa na udadisi wenye nia ya Kukosoa na si kutaka kueleweshwa.
 
Ukisema hivyo unamaanisha wale wote waliokosa neema ya Mungu ya kuelewa hayo maandiko wanaenda kuadhibiwa kwa kosa ambalo hawakuwa na uwezo wa kuliepuka! hapo ni moja katika mawili, either imani yenu ni baseless ama mnamtuhumu Mungu kuwa anaenda kuwaadhibu watu wasio na hatia (waliokosa neema yake), Mungu anisamehe kwa kutamka maneno haya, hakika yeye ni mkamilifu.
 
Dunia imekuwa na wadokozi,wezi,majambazi nk kwa miaka nenda rudi ndiyo maana kuna polisi wa kupambana nao kabla ya mahakama.Wajitengeneze tu watakutana na pliers zao.
 
Hadithi za waarabu bado zinakupagawisha
Nikupe hadithi nyingine, huyo 'mungu' wenu alishindwa kwenye mtanange wa nabii Elija na manabii wa huyo 'mungu' wenu.
Ni mambo ya kusikitisha.....yaani leo hii wale Idf mpaka wasaidiwe na USA kwenye kupambana na wanamgambo !!!??

Kumbe ni kweli uongo(propaganda)huwa una mwisho wake
 
Dunia imekuwa na wadokozi,wezi,majambazi nk kwa miaka nenda rudi ndiyo maana kuna polisi wa kupambana nao kabla ya mahakama.Wajitengeneze tu watakutana na pliers zao.
Unadhani kwanini Ugaidi unaanza - Kwamba Afrika Kusini wale waliokuwa wanapambana na Apartheid dawa ilikuwa kuendelea kuwamarginalize ? Kumbuka wanaendelea kuzaliwa....

Now ugaidi ni watu ambao wapo / wanadhani wapo subjugated kwahio recruitment yao kwa wengine ni kuonyesha kwamba tunaonewa....

Kinachotokea sasa hivi ni kuendelea kuwapa chakula extremists kusajiri wanachama zaidi... Na mwisho wa siku badala ya kuifanya dunia a safe place inazidi kuwa hatari.... Alternative kwa kuonyesha kwamba hawa ni wabaya ni kutumia mbinu za kiinteligensia kwa kufanya hivyo unaweza ukapata Wapelistina wenyewe wanasaidiana na dunia kuwamazila extremists Bila hivyo ni kuendelea kuwapa wateja extremists...

Kabla hata ya Wapelistina kulikuwepo na Wajapan na Kamikaze Warriors (waliambiwa kwamba hawa wavamizi wakija watauwa na ku-rape wake zenu) matokeo yake walikuwa tayari kufa kwa ajili ya kutetea jamii yao (kwahio dawa pekee ni kuonyesha kwamba kinachosemwa sicho)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…