Hamas walitegemea hawa bidada wataonyesha sura za hofu na majuto ila hawajui hata Israel wenyewe wameshindakana kama wao

Hamas walitegemea hawa bidada wataonyesha sura za hofu na majuto ila hawajui hata Israel wenyewe wameshindakana kama wao

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Naona matapeli wamewaachilia watu wasio na hatia.

Hongera kwa benja kwa kuwaminya hadi wanaanchia wenyewe .
20250125_145131.jpg
 
Naona matapeli wamewaachilia watu wasio na hatia.

Hongera kwa benja kwa kuwaminya hadi wanaanchia wenyewe .
View attachment 3213596
Wangeamua wasiwe na furaha wasingekua na furaha, mateka wote wa Hamas wana furaha means lengo la hamas ninkuachiwa wapalestina waliojaa magereza ya Israel wanaokamatwa bila kushtakiwa, na lengo si kutesa binadamu wasio na hatia.

Ila upande wa pili hata watoto wanaua na wazee wasio na hatia.
 
Back
Top Bottom