Hamas wanatumia ambulance kusafirisha majeruhi wao

Hamas wanatumia ambulance kusafirisha majeruhi wao

Joined
Aug 20, 2024
Posts
66
Reaction score
143
Dereva mmoja wa ambulance ameweka wazi ya kwamba wamechoshwa na tabia ya wapiganaji wa Hamas kutumia Magari ya ambulance kusafirisha silaha na majeruhi wao. Kwamba Hamas hujificha au kutumia ambulance kwenye kipindi Cha vita.

Kauli hii imetolewa na dereva wa ambulance ndani ya Gaza.

 
Dereva mmoja wa ambulance ameweka wazi ya kwamba wamechoshwa na tabia ya wapiganaji wa Hamas kutumia Magari ya ambulance kusafirisha silaha na majeruhi wao. Kwamba Hamas hujificha au kutumia ambulance kwenye kipindi Cha vita.

Kauli hii imetolewa na dereva wa ambulance ndani ya Gaza.

Kwahio hayo maelezo nyuma ya bendera IDF eti
 
Wataalamu wa vita watusaidie. Mpiganaji akiumia vitani hatakiwi kutumia ambulance kumpeleka hospital?.
Maana hata Askari wa Israel wanaopigana kule Lebanon naonaga wanapelekwa hospital na Ambulance.
 
Back
Top Bottom