Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Ngoja waachie mateka uone kitakachowapataKwani Israel wameweza kukomboa hata mateka wao mmoja? Kama Israel wameshindwa, kwanini tusiamini kuwa Hamas wana nguvu kuishinfa Israel?
Au mnataka kusema mateka hawapo Gaza? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaamini Israel hajui walipo mateka?Akikomboa mateka hakutakuwa na sababu tena ya kuwamaliza magaidi.Wanabuy time kufanya wanayoyafanya kwa kisingozio cha mateka.Endeleeni kuwa majingaKwani Israel wameweza kukomboa hata mateka wao mmoja? Kama Israel wameshindwa, kwanini tusiamini kuwa Hamas wana nguvu kuishinfa Israel?
Au mnataka kusema mateka hawapo Gaza? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wajue wapi mabwege hao sehemu wanazo fanikiwa ni sehemu wako wanafiki wakipewa tu pesa kudogo wanatoa siri.Unaamini Israel hajui walipo mateka?Akikomboa mateka hakutakuwa na sababu tena ya kuwamaliza magaidi.Wanabuy time kufanya wanayoyafanya kwa kisingozio cha mateka.Endeleeni kuwa majinga
Chanzo Cha habari pleaseWe dogo baki unapapasa magazeti ya Israel, kwa tarifa yako Israel kukubali masharti yote ya Hamasi kwanza aondoe majeshi yake, pili arudishe umeme na maji haraka iwezekanavyo na asilete ujinga tena.
Hio kulipa we baki una bweka wenzako wamekubali kulipa na wa kwanza America.
Kipigo kimewalainishaThe terrorist group is now open to the release of 40 hostages in exchange for 120 prisoners held by Israel,
Wazayuni wa jf hawajitambui kabisa yaaani kabisaaAnajitahidi kuonyesha HAMAS wamesalimu amri na vi news outlets vya uchochoroni. Kama HAMAS wamesalimu amri:
1. mbona Israel kashaanza kuondoka Gaza?
2. mbona Israel haijakubali ili awamu ya pili ya truce iingie kazini?
๐ ๐ ๐ kwani kule west bank anapoua watu kuna nani alitekwa kule ewe mzayuniUnaamini Israel hajui walipo mateka?Akikomboa mateka hakutakuwa na sababu tena ya kuwamaliza magaidi.Wanabuy time kufanya wanayoyafanya kwa kisingozio cha mateka.Endeleeni kuwa majinga
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃHama ikiwa kama kundi teule hakuna wakuifuta na kamatieni hapo hapo mpaka magaidi ya kizayuni yaondoke ukanda wa ghaza kinguvu
Hamas twende kazi
Jana amepigwa naibu mkuu wenu....kaliwa, sasa hivi anafaidi mabikira.Nani kakuambia wewe Leo umeme utarudi Gaza we baki Hamasi kakubali, Israel ndio kakubali masharti ya Hamasi.
Kwanza kambiwa arudishe umeme haraka sana kabla ya chochote
Kuna manaibu wengine kama mia sita wapoJana amepigwa naibu mkuu wenu....kaliwa, sasa hivi anafaidi mabikira.
Hahahahaaaaaa....! Duhhh!We unajua nani kandika huo mkataba sio Israel ni Misr na Qatar ili wamsaidie Israel, America kawaomba hizo nchi mbili ziwabembeleze Hamasi mpa wakubali๐
Nyuma ya pazia America na nchi za kiarabu wameahidi kulipa mabillion ya pesa na ikiwepo kuyajenga hayo majumba walio ya vunja.
Pili Hamasi anabaki hapo hapo.
Tatu Israel asisubuti tena kuwapiga wa Palestine
Afu unakuja jisifia hapa ๐
Juzi hapa walisema hata iweje hamna kukubali chochote kisichohusu Israel kuondoka Gaza, ila Israel wakasema hamna kitu kama hicho na kwanza wakaongeza mapigo. HAMAS sasa wanasema basi sawa jameni wapewe wafungwa wao tu wataachia mateka 40
========================
Hamas negotiators have waived the condition of a final ceasefire and the withdrawal of IDF soldiers from Gaza in their ongoing talks with Israel for a second hostage release, according to a report by the Arab World News Agency (AWP), citing sources in Hamas.
"The five-way talks between Egypt, Qatar, the United States, Israel, and Hamas are ongoing, but so far no agreement has been reached," the source told AWP, adding that talks have "accelerated significantly in recent hours," with "Cairo and Doha making persistent efforts."
The terrorist group is now open to the release of 40 hostages in exchange for 120 prisoners held by Israel, the report said, adding that Hamas had demanded a one-day ceasefire in exchange for each hostage released, but Israel refused.
Hamas waives demand for IDF withdrawal, open to hostages-for-prisoners deal - report
The terrorist group is now open to the release of 40 hostages in exchange for 120 prisoners held by Israel, the report said.www.jpost.com
Kuna manaibu wengine kama mia sita wapo
Hamas muda wote hua wanajijua kua wanatembea na umauti mikononi mwao
Hakuna jipya
Ujinga kivipi....?Ni ujinga kuamini eti Hamas inanguvu ya kupambana na Wayahudi
Ina nguvu sababu inatumia raia kama kingaNi ujinga kuamini eti Hamas inanguvu ya kupambana na Wayahudi
SI WARUDI AFGHANISTANI WAKAICHUKUWE TENABajeti ya ulinzi ya marekani simumeisikia
Hamasi wajisalimishe mapema