Hamas wasema hakuna kusitisha vita kwa kubadilishana mateka. Wanachotaka ni vita visimame kuwaachia mateka

Hamas wasema hakuna kusitisha vita kwa kubadilishana mateka. Wanachotaka ni vita visimame kuwaachia mateka

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hamas pamoja na kuendelea na vita kwa mwezi wa tatu bado wako makini vichwani mwao kuhusiana na hadaa zozote dhidi yao.

Rais Isaac Hezrog wa Israel akizungumza na mabalozi wa nchi 85 jana aliwaahidi kwamba nchi yake inaendelea na mazungumzo ili kuongeza kiwango cha misaada inayoingia Gaza na kuwezesha mateka zaidi kuachiwa kama ilivyokuwa mwishoni mwa mwezi uliopita.

Kusikia hivyo msemaji wa Hamas amejibu ya kuwa kwa sasa mazungumzo ya kubadilishana mateka waliobaki kwa kuruhusu misaada hayana nafasi tena kwao. Kinachotakiwa ni mazungumzo ya kumaliza vita ili na wao wawaachie mateka waliobaki nao
 
Hii taarifa nimeona Jana al Jazeera, Acha tusubiri tuone kama Israel watakubali kusitisha vita moja Kwa moja..

Kumbuka marekani Jana wamesema kuwa kusimamisha vita (ceasefire) kunatoa mwanya Kwa HAMAS kujipanga upya na vita yaani kwakifupi Ngoma bado mbichi
 
Hii taarifa nimeona Jana al Jazeera, Acha tusubiri tuone kama Israel watakubali kusitisha vita moja Kwa moja..

Kumbuka marekani Jana wamesema kuwa kusimamisha vita (ceasefire) kunatoa mwanya Kwa HAMAS kujipanga upya na vita yaani kwakifupi Ngoma bado mbichi
Israel na Marekani wakubali tu ujanja umewaishia na vita vimefika pahala si pazuri. Iwapo bado wanafikiria Hamas watafaidika basi wasubiri hasara kubwa upande wao.
 
Hamas pamoja na kuendelea na vita kwa mwezi wa tatu bado wako makini vichwani mwao kuhusiana na hadaa zozote dhidi yao.

Rais Isaac Hezrog wa Israel akizungumza na mabalozi wa nchi 85 jana aliwaahidi kwamba nchi yake inaendelea na mazungumzo ili kuongeza kiwango cha misaada inayoingia Gaza na kuwezesha mateka zaidi kuachiwa kama ilivyokuwa mwishoni mwa mwezi uliopita.

Kusikia hivyo msemaji wa Hamas amejibu ya kuwa kwa sasa mazungumzo ya kubadilishana mateka waliobaki kwa kuruhusu misaada hayana nafasi tena kwao. Kinachotakiwa ni mazungumzo ya kumaliza vita ili na wao wawaachie mateka waliobaki nao
Israeli wameelemewa sasa wananza ku loby mazungumzo ya kubalidisha mateka ili wajipange[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamas piga nyundo hao kenge wa Kiyahudi [emoji375][emoji375][emoji375]
 
Muwe na huruma , kweli akili yenu mnaona hamasi wako fiti kuendelea na vita huku namba ya vifo inaendelea!
 
Kwamba wanataka mazungumzo ya kumaliza vita? Wamechanganyikiwa hawa hamas, wanacheza na israel hawa hali imekuwa tete wamekiona cha moto sasa. Walishaambiwa mpaka waishe.
 
Back
Top Bottom