Hamas wasema wamebadili mfumo wa kuwalinda Mateka. Netanyahu aomba radhi

Hamas wasema wamebadili mfumo wa kuwalinda Mateka. Netanyahu aomba radhi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Yule msemaji asiyechoka wa Hamas aitwaye Abu Ubeida amesema tangu mwezi Juni mwaka huu wamebadili mfumo wa kuwalinda mateka na kutoa maagizo hayo kwa wanaowalinda pindi askari wa Israel wanapokaribia kuwafikia.Hata hivyo hakutoa ufafanuzi wa mfumo huo.

Inakumbukwa mnamo mwezi Juni jeshi la Israel lilifanikiwa kuwaokoa mateka 4 katika moja ya tukio la kikatili la uokoaji ambapo raia zaidi ya 100 wa Palestina waliuliwa.

Hapo juzi jumla ya mateka 6 miongoni mwa mateka waliobaki Gaza walikutwa wakiwa wamekufa katika hali iliyoonesha kupigwa risasi.Baada ya jeshi la Israel kutoa tangazo hilo kumetokea maaandamano makubwa zaidi yakimtaka waziri mkuu wa nchi hiyo kufikia makubaliano na Hamas ili kusitisha vita.

Akizungumza kupitia televisheni baada ya maandamano kuwa makubwa na kutishia kuiathiri nchi zaidi kiuchumi kutokana na vyama vya wafanyakazi kutishia kufanya migomo, Netanyahu ameomba radhi kwa tukio hilo la kuuliwa kwa mateka hao,hata hivyo amerusha lawama kwa Hamas jambo ambalo waandamanaji wanapingana naye.

Kwa upande mwengine wachambuzi wa mwenendo wa vita vya Gaza wameweka wazi kuwa maelezo yanayotolewa na Marekani na lawama kwa Netanyahu hayaendani sawa na uzito wa hali ya vita na wala hakuna dalili ya kusaidia kumaliza vita hivyo kwa njia ya majadiliano ambayo mara kadhaa yamekuwa yakionekana kufikia mwisho huku Netanyahu akibadili hadidu rejea za makubaliano yaliyofikiwa inapokuja muda wa kutiliana saini.

Hivi karibuni kwa upande wao Hamas wamesema hawana haja tena na mazungumzo mapya ya kusitisha vita bila kutekelezwa yaliyoafikiwa kabla

Soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

1725336381085.png
 
Netanyahu ameingiza siasa kwenye hili suala.

Na hilo litam cost. Tamaa za madaraka mbaya sana.
ana tamaa ya kuandika historia ambayo wala hataweza kuiandika kutokana na mfumuko wa matukio.
Mwanzoni mwa vita alijisifu kuwa taifa la Palestina lilikuwa karibu kuundwa baada ya makubaliano ya Oslo.Yeye ndiye aliyepindua meza.
 
Yule msemaji asiyechoka wa Hamas aitwaye Abu Ubeida amesema tangu mwezi Juni mwaka huu wamebadili mfumo wa kuwalinda mateka na kutoa maagizo hayo kwa wanaowalinda pindi askari wa Israel wanapokaribia kuwafikia.Hata hivyo hakutoa ufafanuzi wa mfumo huo.

Inakumbukwa mnamo mwezi Juni jeshi la Israel lilifanikiwa kuwaokoa mateka 4 katika moja ya tukio la kikatili la uokoaji ambapo raia zaidi ya 100 wa Palestina waliuliwa.

Hapo juzi jumla ya mateka 6 miongoni mwa mateka waliobaki Gaza walikutwa wakiwa wamekufa katika hali iliyoonesha kupigwa risasi.Baada ya jeshi la Israel kutoa tangazo hilo kumetokea maaandamano makubwa zaidi yakimtaka waziri mkuu wa nchi hiyo kufikia makubaliano na Hamas ili kusitisha vita.

Akizungumza kupitia televisheni baada ya maandamano kuwa makubwa na kutishia kuiathiri nchi zaidi kiuchumi kutokana na vyama vya wafanyakazi kutishia kufanya migomo, Netanyahu ameomba radhi kwa tukio hilo la kuuliwa kwa mateka hao,hata hivyo amerusha lawama kwa Hamas jambo ambalo waandamanaji wanapingana naye.

Kwa upande mwengine wachambuzi wa mwenendo wa vita vya Gaza wameweka wazi kuwa maelezo yanayotolewa na Marekani na lawama kwa Netanyahu hayaendani sawa na uzito wa hali ya vita na wala hakuna dalili ya kusaidia kumaliza vita hivyo kwa njia ya majadiliano ambayo mara kadhaa yamekuwa yakionekana kufikia mwisho huku Netanyahu akibadili hadidu rejea za makubaliano yaliyofikiwa inapokuja muda wa kutiliana saini.

Hivi karibuni kwa upande wao Hamas wamesema hawana haja tena na mazungumzo mapya ya kusitisha vita bila kutekelezwa yaliyoafikiwa kabla

Soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Kwa taarifa yako system ya Israel siku nyingi ishawahesabia hao mateka kama walishakufa kinachowatesa ni namna ya kuwatuliza raia. Ukimsikiliza Netanyahu jana utaona kuwa hajaja na hitimisho lolote la kumaliza vita na kaahidi jibu kali zaid kwa Hamas. Wakati huo huo mahakama imezuia maandamano. Jamaa wanaofanya ile kitu Inaitwa kumalizana nao mazima. Sasa hiv kichapo kimehamia west bank. Ila binafs nachoomba kwa Mungu hii kitu iishe aisee. Kama kichapo kimetosha kabisa
 
Yule msemaji asiyechoka wa Hamas aitwaye Abu Ubeida amesema tangu mwezi Juni mwaka huu wamebadili mfumo wa kuwalinda mateka na kutoa maagizo hayo kwa wanaowalinda pindi askari wa Israel wanapokaribia kuwafikia.Hata hivyo hakutoa ufafanuzi wa mfumo huo.

Inakumbukwa mnamo mwezi Juni jeshi la Israel lilifanikiwa kuwaokoa mateka 4 katika moja ya tukio la kikatili la uokoaji ambapo raia zaidi ya 100 wa Palestina waliuliwa.

Hapo juzi jumla ya mateka 6 miongoni mwa mateka waliobaki Gaza walikutwa wakiwa wamekufa katika hali iliyoonesha kupigwa risasi.Baada ya jeshi la Israel kutoa tangazo hilo kumetokea maaandamano makubwa zaidi yakimtaka waziri mkuu wa nchi hiyo kufikia makubaliano na Hamas ili kusitisha vita.

Akizungumza kupitia televisheni baada ya maandamano kuwa makubwa na kutishia kuiathiri nchi zaidi kiuchumi kutokana na vyama vya wafanyakazi kutishia kufanya migomo, Netanyahu ameomba radhi kwa tukio hilo la kuuliwa kwa mateka hao,hata hivyo amerusha lawama kwa Hamas jambo ambalo waandamanaji wanapingana naye.

Kwa upande mwengine wachambuzi wa mwenendo wa vita vya Gaza wameweka wazi kuwa maelezo yanayotolewa na Marekani na lawama kwa Netanyahu hayaendani sawa na uzito wa hali ya vita na wala hakuna dalili ya kusaidia kumaliza vita hivyo kwa njia ya majadiliano ambayo mara kadhaa yamekuwa yakionekana kufikia mwisho huku Netanyahu akibadili hadidu rejea za makubaliano yaliyofikiwa inapokuja muda wa kutiliana saini.

Hivi karibuni kwa upande wao Hamas wamesema hawana haja tena na mazungumzo mapya ya kusitisha vita bila kutekelezwa yaliyoafikiwa kabla

Soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Kumbe mnakiri hamas wanaua mateka kwa makusudi halafu kinafiki lawama mnawarushia israel eti wanaua mateka kwa mashambulizi
 
Kwa taarifa yako system ya Israel siku nyingi ishawahesabia hao mateka kama walishakufa kinachowatesa ni namna ya kuwatuliza raia. Ukimsikiliza Netanyahu jana utaona kuwa hajaja na hitimisho lolote la kumaliza vita na kaahidi jibu kali zaid kwa Hamas. Wakati huo huo mahakama imezuia maandamano. Jamaa wanaofanya ile kitu Inaitwa kumalizana nao mazima. Sasa hiv kichapo kimehamia west bank. Ila binafs nachoomba kwa Mungu hii kitu iishe aisee. Kama kichapo kimetosha kabisa
Hamas wamebadili mbinu na wanajua sana tabia za mayahudi.Wameamua kumalizana nao kiaina wanayoona ni bora zaidi kwao.
 
Netanyau anachotakiwa kufanya ni kutembeza kichapo bila kutoa tamko la watu wahame,maana matamko haya yanafanya na hamasi kuhama nao.
Kosa la wapalestina ni kuchagua hamas kuwa kiongozi wao,hilo tu linaonyesha wote waliopo upande huo ni magaidi
Anayetaka amani ahamie kwa Mahamod Abas awe salama;.
 
Hamas wamebadili mbinu na wanajua sana tabia za mayahudi.Wameamua kumalizana nao kiaina wanayoona ni bora zaidi kwao.
Ndio nakuambia myahud ameshahesabu hao kuwa ni wafu, shida ni kuwa raia hawataki. Maana hata Hamas leo wakiwaachia kwa vifo vilivyotokea na uharibifu uliotokea wanafaidikaje yani kwa mfano. Watu elfu 40 usifanye mchezo. Madhara ya miundo mbinu na kisaikolojia hasa kwa watoto mpaka muda huu ni makubwa sana. Na mbaya zaid kwao hawatarud tena madarakan. So nini mpaka muda huu Hamas kapata kutoka na vita hii zaid ya kuwaumiza watu wao na kuharibu maisha yao.
 
Yule msemaji asiyechoka wa Hamas aitwaye Abu Ubeida amesema tangu mwezi Juni mwaka huu wamebadili mfumo wa kuwalinda mateka na kutoa maagizo hayo kwa wanaowalinda pindi askari wa Israel wanapokaribia kuwafikia.Hata hivyo hakutoa ufafanuzi wa mfumo huo.

Inakumbukwa mnamo mwezi Juni jeshi la Israel lilifanikiwa kuwaokoa mateka 4 katika moja ya tukio la kikatili la uokoaji ambapo raia zaidi ya 100 wa Palestina waliuliwa.

Hapo juzi jumla ya mateka 6 miongoni mwa mateka waliobaki Gaza walikutwa wakiwa wamekufa katika hali iliyoonesha kupigwa risasi.Baada ya jeshi la Israel kutoa tangazo hilo kumetokea maaandamano makubwa zaidi yakimtaka waziri mkuu wa nchi hiyo kufikia makubaliano na Hamas ili kusitisha vita.

Akizungumza kupitia televisheni baada ya maandamano kuwa makubwa na kutishia kuiathiri nchi zaidi kiuchumi kutokana na vyama vya wafanyakazi kutishia kufanya migomo, Netanyahu ameomba radhi kwa tukio hilo la kuuliwa kwa mateka hao,hata hivyo amerusha lawama kwa Hamas jambo ambalo waandamanaji wanapingana naye.

Kwa upande mwengine wachambuzi wa mwenendo wa vita vya Gaza wameweka wazi kuwa maelezo yanayotolewa na Marekani na lawama kwa Netanyahu hayaendani sawa na uzito wa hali ya vita na wala hakuna dalili ya kusaidia kumaliza vita hivyo kwa njia ya majadiliano ambayo mara kadhaa yamekuwa yakionekana kufikia mwisho huku Netanyahu akibadili hadidu rejea za makubaliano yaliyofikiwa inapokuja muda wa kutiliana saini.

Hivi karibuni kwa upande wao Hamas wamesema hawana haja tena na mazungumzo mapya ya kusitisha vita bila kutekelezwa yaliyoafikiwa kabla

Soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

"WHERE IS ALLAH?"
"ALLAH YUKO WAPI?"
20240901_080506.jpg
 
Njia sahihi kabisa,kila IDF wakikaribia kuwafikia mateka basi wanakuta mizoga!
Ni wazi sasa hakuna namna malengo ya Netanyahu yatafanikiwa,hiyo inaacha njia moja tu ambayo ni ceasefire ili kuokoa mateka!
 
Netanyau anachotakiwa kufanya ni kutembeza kichapo bila kutoa tamko la watu wahame,maana matamko haya yanafanya na hamasi kuhama nao.
Kosa la wapalestina ni kuchagua hamas kuwa kiongozi wao,hilo tu linaonyesha wote waliopo upande huo ni magaidi
Anayetaka amani ahamie kwa Mahamod Abas awe salama;.
fikiria kwamba wapalestina ni watanzania,benjamini atamaliza silaha na watu hato give up for their land pale palestina
 
October 7 hamas walipoivamia israel waliua raia wangapi wa israel ?
Israel walitumia itikadi yao ya hanibal, walitumia kopta kuuwa raia wao wenyewe,hili liko well documented ikiwa si mvivu kusaka taarifa,lakini hata hivyo, watoto 15k+ wa palestine wameuawa,huwezi kuhalalisha kivyovyote,so mateka wapo 100+,gonga shaba 6,6 kila netanyahu atapojifanya kichwa ngumu
 
Israel walitumia itikadi yao ya hanibal, walitumia kopta kuuwa raia wao wenyewe,hili liko well documented ikiwa si mvivu kusaka taarifa,lakini hata hivyo, watoto 15k+ wa palestine wameuawa,huwezi kuhalalisha kivyovyote,so mateka wapo 100+,gonga shaba 6,6 kila netanyahu atapojifanya kichwa ngumu
Kama israel waliua watu wao october 7 je na wale wayahudi waliokuwa wakiuawa na hamas na video hamas waliposti wenyewe je ilikuwa ni israel unataka kuwatetea hamas wakati unyama wao huonyesha hivi hii dini yenu mnafundishwaga ubishi, unafiki na uwongo
 
Njia sahihi kabisa,kila IDF wakikaribia kuwafikia mateka basi wanakuta mizoga!
Ni wazi sasa hakuna namna malengo ya Netanyahu yatafanikiwa,hiyo inaacha njia moja tu ambayo ni ceasefire ili kuokoa mateka!
Hamna cha ceasefire! Netanyahu hawezi kufanya kosa la kuwaachia magaidi Upenyo wa kujipanga tena.
Ameshasema kwamba pressure ya kijeshi dhidi ya magaidi ndio njia pekee ya kumaliza vita na kuwarudisha mateka nyumbani either dead or alive
 
Back
Top Bottom