Hamas yaendelea kuwaachia mateka ambao si waisrael bure kabisa

Hamas yaendelea kuwaachia mateka ambao si waisrael bure kabisa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kuonesha kuwa Hamas vita vyao ni baina ya Palestina na Israel imeendelea kuwaachia mateka ilionao ambao ni raia wa mataifa mengine bure kabisa. Hii inaonekana kuwakamata kwao ilikuwa ni kwa bahati mbaya tu.

Hapo jana raia 10 wa Thailand na mfilipino mmoja waliachiwa kwa mshtuko wa wengi pamoja na waisrael wanawake na watoto 13 kwa kubadililishana na wafungwa 39 wa kipalestina kwenye magereza ya Israel
Leo kabla ya ukorofi ulioletwa na Israel ,Hamas wamepanga kuwaachia mateka 13 wa Israel na raia wa kigeni karibu 20 kwa mabadilishano na idadi ile ile ya wapalestina 39 kwenye magereza hayo.

Kwa hali inavyokwenda inaonesha Hamas ina mateka wengi kuliko wanaojulikan na Israel na wako ambao Israel ilikwishatanga wamefariki miongoni mwa raia wake lakini jana ghafla mmoja akatoka akiwa hai na kurudishwa kwa watu wake huko Israel.
 
Kuonesha kuwa Hamas vita vyao ni baina ya Palestina na Israel imeendelea kuwaachia mateka ilionao ambao ni raia wa mataifa mengine bure kabisa. Hii inaonekana kuwakamata kwao ilikuwa ni kwa bahati mbaya tu.

Hapo jana raia 10 wa Thailand na mfilipino mmoja waliachiwa kwa mshtuko wa wengi pamoja na waisrael wanawake na watoto 13 kwa kubadililishana na wafungwa 39 wa kipalestina kwenye magereza ya Israel
Leo kabla ya ukorofi ulioletwa na Israel ,Hamas wamepanga kuwaachia mateka 13 wa Israel na raia wa kigeni karibu 20 kwa mabadilishano na idadi ile ile ya wapalestina 39 kwenye magereza hayo.

Kwa hali inavyokwenda inaonesha Hamas ina mateka wengi kuliko wanaojulikan na Israel na wako ambao Israel ilikwishatanga wamefariki miongoni mwa raia wake lakini jana ghafla mmoja akatoka akiwa hai na kurudishwa kwa watu wake huko Israel.
kwan walikamata hao raia ambao sio waisrael ? hamas wapuuz na waislam kwa kusapoti takataka
 
Kuonesha kuwa Hamas vita vyao ni baina ya Palestina na Israel imeendelea kuwaachia mateka ilionao ambao ni raia wa mataifa mengine bure kabisa. Hii inaonekana kuwakamata kwao ilikuwa ni kwa bahati mbaya tu.

Hapo jana raia 10 wa Thailand na mfilipino mmoja waliachiwa kwa mshtuko wa wengi pamoja na waisrael wanawake na watoto 13 kwa kubadililishana na wafungwa 39 wa kipalestina kwenye magereza ya Israel
Leo kabla ya ukorofi ulioletwa na Israel ,Hamas wamepanga kuwaachia mateka 13 wa Israel na raia wa kigeni karibu 20 kwa mabadilishano na idadi ile ile ya wapalestina 39 kwenye magereza hayo.

Kwa hali inavyokwenda inaonesha Hamas ina mateka wengi kuliko wanaojulikan na Israel na wako ambao Israel ilikwishatanga wamefariki miongoni mwa raia wake lakini jana ghafla mmoja akatoka akiwa hai na kurudishwa kwa watu wake huko Israel.
Hii ni kutafuta huruma baada ya kipigo cha maana, siku zote inajua hao si raia wa Israel, iliwashikilia ya nini mpaka leo?.Israel akiongeza dozi ya hiki kipigo kuna dalili ya magaidi watakaobakia kuwa raia wema.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni kutafuta huruma baada ya kipigo cha maana, siku zote inajua hao si raia wa Israel, iliwashikilia ya nini mpaka leo?.Israel akiongeza dozi ya hiki kipigo kuna dalili ya magaidi watakaobakia kuwa raia wema.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Israel imeshaua mateka 60 na Hamas wanawaachia wasiokuwa waisrael bure halafu unasema ni kutafuta huruma.Huo unaitwa ni utu
Huruma itakuja yenyewe na ndio maana maelfu ya watu dunia nzima nchi za kiislamu na dini nyengine wamewaunga mkono Hamas.
 
Back
Top Bottom