Hamas yaishutumu Israel kukataa kusitisha Mapigano

Hamas yaishutumu Israel kukataa kusitisha Mapigano

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kumbe Maskini Hamas wenyewe wala hawataki Vita ni sisi tu tunaowalazimisha. Ni sisi tu tunaelewa uwezo wao ulivyo mkubwa wao wenyewe wameshachoka hayo maisha.

Screenshot_2024-08-24-07-22-32-380_com.instagram.android~2.jpg



Screenshot_2024-08-24-06-43-28-344_com.instagram.android~2.jpg
 
Kumbe Maskini Hamas wenyewe wala hawataki Vita ni sisi tu tunaowalazimisha. Ni sisi tu tunaelewa uwezo wao ulivyo mkubwa wao wenyewe wameshachoka hayo maisha.

View attachment 3077713


View attachment 3077708
Msihamishe magoli !
Kwa sasa mada kuu ni Wamasai na Ngorongoro yao !
Haya mambo ya Hamas na Netanyahu hayatuhusu !
After all wale ni ndugu watoto wa Baba mmoja !
Wanandugu wakigombana shika jembe ukalime !

Au nasema uongo ndugu zanguni ??! 🙌🙏
 
Msihamishe magoli !
Kwa sasa mada kuu ni Wamasai na Ngorongoro yao !
Haya mambo ya Hamas na Netanyahu hayatuhusu !
After all wale ni ndugu watoto wa Baba mmoja !
Wanandugu wakigombana shika jembe ukalime !

Au nasema uongo ndugu zanguni ??! 🙌🙏

Israel apunguze kidogo makali
Serikali isiwapuuze Wamasai
 
Back
Top Bottom