Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kumbe Maskini Hamas wenyewe wala hawataki Vita ni sisi tu tunaowalazimisha. Ni sisi tu tunaelewa uwezo wao ulivyo mkubwa wao wenyewe wameshachoka hayo maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msihamishe magoli !Kumbe Maskini Hamas wenyewe wala hawataki Vita ni sisi tu tunaowalazimisha. Ni sisi tu tunaelewa uwezo wao ulivyo mkubwa wao wenyewe wameshachoka hayo maisha.
View attachment 3077713
View attachment 3077708
Msihamishe magoli !
Kwa sasa mada kuu ni Wamasai na Ngorongoro yao !
Haya mambo ya Hamas na Netanyahu hayatuhusu !
After all wale ni ndugu watoto wa Baba mmoja !
Wanandugu wakigombana shika jembe ukalime !
Au nasema uongo ndugu zanguni ??! 🙌🙏
Serikali isiwapuuze WamasaiIsrael apunguze kidogo makali
Huwezi kuwaachia corridor ya Philadelphia magaidi ya Hamass .wataingiza tena Sila na kufanya ya October 7Kumbe Maskini Hamas wenyewe wala hawataki Vita ni sisi tu tunaowalazimisha. Ni sisi tu tunaelewa uwezo wao ulivyo mkubwa wao wenyewe wameshachoka hayo maisha.
View attachment 3077713
View attachment 3077708
Hamas walianzisha vita wenyewe october 7Kumbe Maskini Hamas wenyewe wala hawataki Vita ni sisi tu tunaowalazimisha. Ni sisi tu tunaelewa uwezo wao ulivyo mkubwa wao wenyewe wameshachoka hayo maisha.
View attachment 3077713
View attachment 3077708
Mwana kulitafuta mwana kulipata!Hamas walianzisha vita wenyewe october 7
Philadelfi corridor wakiachiwa Hamas wataingiza Silaha kutoka IranIsrael apunguze kidogo makali
Damu ya watanzania wetu wawili inawalilia hamas wameimwaga bure tunaomba bro Netanyahuu endelea na kazi mpaka magaidi wote waisheKumbe Maskini Hamas wenyewe wala hawataki Vita ni sisi tu tunaowalazimisha. Ni sisi tu tunaelewa uwezo wao ulivyo mkubwa wao wenyewe wameshachoka hayo maisha.
View attachment 3077713
View attachment 3077708