HAMAS yasema hakuna mateka atakayeondoka Gaza akiwa hai hadi matakwa yake yatakapotimizwa

HAMAS yasema hakuna mateka atakayeondoka Gaza akiwa hai hadi matakwa yake yatakapotimizwa

IDF sio vyuma kwamba hawafi lakini wanapokufa ni wachache sana ukilinganisha na magaidi tena wanakufa kwa maslahi mapana ya nchi yao na kuikomboa palestina kutoka kwa magaidi ya Hamas.
Maslahi mapana 😂

BREAKING:

⚡️Gazeti la Israel la Haaretz kuhusu idadi halisi ya wanajeshi wa Israel waliojeruhiwa:

Kuhusu takwimu za uongo za msemaji wa jeshi linalokalia kwa mabavu kuhusu idadi ya watu waliojeruhiwa katika hospitali za Israel tangu kuanza kwa vita dhidi ya Gaza.

Takwimu za msemaji wa jeshi hadi sasa juu ya wanajeshi 1,593 waliojeruhiwa tangu kuanza kwa operesheni:

Gazeti hilo lilifichua yafuatayo:

  • Hospitali ya Barzelazi (Beersheba) ilitibu wanajeshi 1,490
  • Hospitali ya Assuta iliwatibu wanajeshi 178
Hospitali ya Ichilov huko Tel Aviv ilitibu wanajeshi 148
  • Hospitali ya Rambam huko Haifa iliwatibu wanajeshi 188
  • Hospitali ya Hadassah mjini Jerusalem ilitibu wanajeshi 209
-Hospitali ya Shaare Zedek huko Jerusalem ilitibu wanajeshi 139
-Hospitali ya Soroka kusini iliwatibu wanajeshi 1,000
-Hospitali ya Sheba kusini iliwatibu wanajeshi 500

Jumla ya wanajeshi 3,852 waliojeruhiwa, kulingana na data ya hospitali ya Israeli, pamoja na kujeruhiwa kidogo katika hospitali za rununu za jeshi, Ambayo inaweza kusababisha zaidi ya 7000 kwa urahisi.
 
Wanajenga wapi sasa wakati Israel wamesema pale wanapafanya buffer zone kwa miaka kadhaa hadi wahakikishe usalama upo. ulimsikia netanyahu au hukumsikia?
Netanyahu, kachanganyikiwa anaropoka tu kila kitu sasa hivi alishasema hawezi kukaa meza moja na magaidi tumemzoea Gaza watatoka wenyewe bila hata kuambiwa.
 
Maslahi mapana 😂

BREAKING:

⚡️Gazeti la Israel la Haaretz kuhusu idadi halisi ya wanajeshi wa Israel waliojeruhiwa:

Kuhusu takwimu za uongo za msemaji wa jeshi linalokalia kwa mabavu kuhusu idadi ya watu waliojeruhiwa katika hospitali za Israel tangu kuanza kwa vita dhidi ya Gaza.

Takwimu za msemaji wa jeshi hadi sasa juu ya wanajeshi 1,593 waliojeruhiwa tangu kuanza kwa operesheni:

Gazeti hilo lilifichua yafuatayo:

  • Hospitali ya Barzelazi (Beersheba) ilitibu wanajeshi 1,490
  • Hospitali ya Assuta iliwatibu wanajeshi 178
Hospitali ya Ichilov huko Tel Aviv ilitibu wanajeshi 148
  • Hospitali ya Rambam huko Haifa iliwatibu wanajeshi 188
  • Hospitali ya Hadassah mjini Jerusalem ilitibu wanajeshi 209
-Hospitali ya Shaare Zedek huko Jerusalem ilitibu wanajeshi 139
-Hospitali ya Soroka kusini iliwatibu wanajeshi 1,000
-Hospitali ya Sheba kusini iliwatibu wanajeshi 500

Jumla ya wanajeshi 3,852 waliojeruhiwa, kulingana na data ya hospitali ya Israeli, pamoja na kujeruhiwa kidogo katika hospitali za rununu za jeshi, Ambayo inaweza kusababisha zaidi ya 7000 kwa urahisi.
Hamas mpaka sasa zaidi ya 8000 washasindikizwa jehanamu
 
Hamas mpaka sasa zaidi ya 8000 washasindikizwa jehanamu
Watoto ndiyo Hamas?
⚡️HILARIOUS: The israeli army announces: Out of the 105 IOF killed in the Gaza Strip during the ground offensive, 20 were killed by friendly fire.

2 of them were killed with their own vehicles running over them!
 

Attachments

  • IMG_7972.jpeg
    IMG_7972.jpeg
    45.2 KB · Views: 1
Nafikiri Israel yenyewe imekata tamaa ndio maana imeamua kushambulia tu. Netanyau alishatangaza kwamba hawezi kuokoa mateka wote, manake amewatoa kafara alimradi tu hamas wapukutike. hiyo hata sio shida kwa Israel.
Kwa hiyo zile hadithi za Israel ina jeshi hatari la kupigana na dunia nzima zilikuwa propaganda?
 
🛑 Al-Qassam Brigades (Hamas) announces:

After returning from the frontlines in the Shujaiya neighborhood, our fighters report targeting 7 military vehicles, including the "Commander" tank and an APC carrying 3 soldiers.

We engaged the rescue teams who tried to rescue the crew of the "Merkava-3 Baz" tank, killing several of them.

Additionally, we targeted a Zionist sniper with RPG and fiercely clashed with IOF infantry forces in several areas at close range, confirming eliminating 11 Zionist soldiers, and we seized the equipment from some of the soldiers and inflicted injuries on others.
 
Israel | Haaretz

While it stated that 4,591 soldiers who had been treated in hospitals since October 7 were counted, the army announced that there were only 1,593 injured.

(less than number given by Haaretz)
 
⚡️FULL translated speech of Al-Quds Brigades military spox, Abu Hamza:

• We will not surrender and we will not raise the white flag no matter how long the battle lasts, as we are its people with God’s help and will.

• Bombing civilians is the state of helpless cowards when they suffer defeat at the hands of those who remain steadfast in their land.

• We declare, with absolute clarity, that today's battle is not about eliminating the resistance or recovering prisoners. Instead, it is settling scores with the Palestinian people and its resistance.

• In this battle, we have nothing but determination to win:

• In the face of the tragic situation and the oppressive siege, we say to our people that we are living your conditions and experiencing your pain. However, the price of freedom and dignity is much greater than the injustice and persecution we endure.

• We are engaged in an open war against the Zionist-American occupation, defending Al-Aqsa Mosque on behalf of the billion-strong nation. ‘O nation of a billion, share with us this disgrace and injustice.

• Salutations to the free people and courageous Yemen, Lebanon & Iraq.

• We affirm the steadfastness of our fighters in the field in all battle axes, and we declare our responsibility for the destruction of dozens of armored vehicles and vehicles with tandom rockets and barrel explosives.

• Our forces clashed with the enemy from point-blank range, which resulted in dozens of deaths and hundreds of injuries among the ranks of the enemy army.

• We say to the families of the Zionist prisoners that the reckless Netanyahu knows his inevitable fate after the war, and he is working hard to procrastinate and evade.

• The fate of our israeli prisoners and soldiers is either their death due to IOF air strikes & foolish attempts to liberate them, or their return through indirect negotiation and conditional exchange under a complete ceasefire.

• Even if all the forces on Earth were united, and they have indeed united, they will not be able to free a single Zionist prisoner from Gaza.
 
BREAKING:

🇦🇺🇨🇦🇳🇿🇮🇱

Australia, Canada and New Zealand are fed up with Israel

Their Prime Ministers said in a joint statement that they are 'alarmed at the diminishing safe space for civilians in Gaza' and that the 'price of defeating Hamas cannot be the continuous suffering of all Palestinian civilians'.

This comes after Biden criticized war criminal Netanyahu and Israel today.

No matter how much the Western countries want to, they can no longer justify and defend Israel's genocide, massacres of children, use of phosphorus bombs, bombing of hospitals, schools, refugee camps and countless other war crimes that even Hitler could blame.
 
President Joe Biden issued a stunning rebuke of Prime Minister Benjamin Netanyahu, warning Israel is losing support across the globe and its conservative government needs to 'change'.
 
Mambo yameanza kuwa magumu kwa Israel na Marekani hali tete baada ya Marekani kumtekeza Israel wameanza kushtuka hawafahamu hatina ya vita wanauwa raia wasikuwa na hatia na Hamas ndiyo kwanza wanaanza vita Marekani wanaona wanakwenda kupata aibu duniani.

In a surprise move Biden ramped up pressure on Israel to rein in its bombing campaign in Gaza with his most scathing criticism since the October 7 terrorist attack by Hamas.
Biden also accused Israel of not wanting a long-term two-state solution, which would give Palestinians their own nation.
The rupture between Washington and Tel Aviv came amid a growing civilian death toll in Gaza as Israeli forces search for Hamas terrorists, and as Biden faces calls from his own party and allies to seek a ceasefire.
Speaking at a closed-door political fundraiser in Washington D.C. on Tuesday, Biden said: 'They're starting to lose that support by indiscriminate bombing that takes place.
'He (Netanyahu) has to change this government. This government in Israel is making it very difficult. Bibi's got a tough decision to make. This is the most conservative government in Israel's history.'

Biden said the Israeli government 'doesn't want a two-state solution' but that, ultimately, 'can't say no' to a Palestinian state.
He said: 'We have an opportunity to begin to unite the region...and they still want to do it. But we have to make sure that Bibi understands that he's got to make some moves to strengthen...you cannot say 'no Palestinian state'...That's going to be the hard part.'
Biden issued his blunt warning hours after Netanyahu flatly rejected American plans for the future of the region.
===============
Katika hali ya mshangao, Biden alizidisha shinikizo kwa Israeli kudhibiti kampeni yake ya kulipua mabomu huko Gaza na ukosoaji wake mkali zaidi tangu shambulio la kigaidi la Oktoba 7 na Hamas.
Biden pia aliishutumu Israel kwa kutotaka suluhu ya muda mrefu ya mataifa mawili, ambayo ingewapa Wapalestina taifa lao.
Mgawanyiko kati ya Washington na Tel Aviv ulikuja huku kukiwa na ongezeko la vifo vya raia huko Gaza wakati vikosi vya Israel vikiwatafuta magaidi wa Hamas, na huku Biden akikabiliana na wito kutoka kwa chama chake na washirika wake kutaka kusitishwa kwa mapigano.
Akizungumza katika harambee ya kuchangisha fedha za kisiasa mjini Washington D.C. siku ya Jumanne, Biden alisema: 'Wanaanza kupoteza uungwaji mkono huo kwa mashambulizi ya kiholela yanayotokea.
'Yeye (Netanyahu) anapaswa kubadilisha serikali hii. Serikali hii ya Israel inaifanya kuwa ngumu sana. Bibi ana uamuzi mgumu kufanya. Hii ndiyo serikali ya kihafidhina zaidi katika historia ya Israeli.'

Biden says Israel losing support around the world over Gaza bombing
 
Maslahi mapana 😂

BREAKING:

⚡️Gazeti la Israel la Haaretz kuhusu idadi halisi ya wanajeshi wa Israel waliojeruhiwa:

Kuhusu takwimu za uongo za msemaji wa jeshi linalokalia kwa mabavu kuhusu idadi ya watu waliojeruhiwa katika hospitali za Israel tangu kuanza kwa vita dhidi ya Gaza.

Takwimu za msemaji wa jeshi hadi sasa juu ya wanajeshi 1,593 waliojeruhiwa tangu kuanza kwa operesheni:

Gazeti hilo lilifichua yafuatayo:

  • Hospitali ya Barzelazi (Beersheba) ilitibu wanajeshi 1,490
  • Hospitali ya Assuta iliwatibu wanajeshi 178
Hospitali ya Ichilov huko Tel Aviv ilitibu wanajeshi 148
  • Hospitali ya Rambam huko Haifa iliwatibu wanajeshi 188
  • Hospitali ya Hadassah mjini Jerusalem ilitibu wanajeshi 209
-Hospitali ya Shaare Zedek huko Jerusalem ilitibu wanajeshi 139
-Hospitali ya Soroka kusini iliwatibu wanajeshi 1,000
-Hospitali ya Sheba kusini iliwatibu wanajeshi 500

Jumla ya wanajeshi 3,852 waliojeruhiwa, kulingana na data ya hospitali ya Israeli, pamoja na kujeruhiwa kidogo katika hospitali za rununu za jeshi, Ambayo inaweza kusababisha zaidi ya 7000 kwa urahisi.
Kaka palipo na msikiti wa wavaa kobasi inafumuliwa inajengwa sinagogi watu wamenda fagia gaza hakuta salia gaidi
 
kama hujaelewa, hadi kufikia sasaivi askari majeruhi israel wamefikia 1600. waliokufa wanakaribia 500. ila upande wa pili ndio noma. hamas wamepukutika wengi mno.
 
kama hujaelewa, hadi kufikia sasaivi askari majeruhi israel wamefikia 1600. waliokufa wanakaribia 500. ila upande wa pili ndio noma. hamas wamepukutika wengi mno.
🛑Al-Qassam Brigades (Hamas) announced:

Following the return from the front lines west of Jabaliya Camp, our fighters reported preparing a meticulous ambush for a reinforced Zionist infantry unit last Tuesday. They successfully detonated 2 anti-personnel explosives, resulting in dozens of soldiers being killed & wounded.

Two days later, a Zionist infantry force advanced towards a fortified building where some fighters were positioned near Birket Abu Rashid. After blowing up the building's entrance, our fighters targeted the approaching force with grenades & gunfire, chasing them from one location to another.

We confirm the killing of 15 soldiers among them.
 
Back
Top Bottom