Baadhi ya Wapalestina wamechoshwa na vitendo vinavyofanywa na hamas ikiwemo wao kukimbilia kwenye mahandaki na kuwaacha wapalestina wawe ngao pale Israel inapojibu mashambulizi, Pia chakula cha misaada kimekuwa kikiuzwa badala ya wapalestina kupewa bure
Hamas wamechapisha video ya onyo sambamba na muziki wa tahadhari kwenye channel yao ya Telegram, wakionesha kile kitakachotokea kwa Wapalestina wanaowapinga.
Hamas wamechapisha video ya onyo sambamba na muziki wa tahadhari kwenye channel yao ya Telegram, wakionesha kile kitakachotokea kwa Wapalestina wanaowapinga.