LGE2024 Hamasa kubwa ya wananchi kujiandikisha, pongezi ziende kwa Rais Samia

LGE2024 Hamasa kubwa ya wananchi kujiandikisha, pongezi ziende kwa Rais Samia

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
HAMASA KUBWA YA WANANCHI KUJIANDIKISHA, PONGEZI ZIENDE KWA RAIS SAMIA

Nchi inayoongozwa katika misingi ya kidemokrasia inaamini kuwa kielelezo cha kwanza cha Demokrasia ni haki ya kuamua, yaani kuchagua au kuchaguliwa.

Katika kuiishi imani hiyo, serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Wizara ya TAMISEMI chini ya waziri mwenye dhamana Mhe. Mohamed Mchengerwa imeongeza idadi ya vituo vya kujiandikisha kutoka 37,814 mwaka 2019 hadi vituo 40,126 mwaka 2024 ikiwa ni sawa na ongezeko la vituo 2,312.

Ongezeko hili limechochea kuongezeka kwa hamasa ya wananchi kujiandikisha kwani vituo vimesogezwa karibu na makazi au biashara zao na muda wa kusimama kwenye foleni kusubiri kujiandikisha umepungua kwa kiasi kikubwa.

Soma Pia:
Ikiwa leo ni siku ya mwisho kwa zoezi la wananchi kujiandikisha katika daftari la mkaazi ambalo limeenda kwa mafanikio makubwa, Pongezi nyingi ziende kwa Mhe. Rais Dkt. @Samia_Suluhu_Hassan kwa kuimarisha Demokaria nchini, hali inayomuwezesha kila mwananchi kushiriki kikamilifu katika kutimiza wajibu wake kikatiba.

Tufuatilie zaidi kupitia kurasa zetu @kamusi_halisi

#KamusiYaMaendeleo

 
HAMASA KUBWA YA WANANCHI KUJIANDIKISHA, PONGEZI ZIENDE KWA RAIS SAMIA

Nchi inayoongozwa katika misingi ya kidemokrasia inaamini kuwa kielelezo cha kwanza cha Demokrasia ni haki ya kuamua, yaani kuchagua au kuchaguliwa.

Katika kuiishi imani hiyo, serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Wizara ya TAMISEMI chini ya waziri mwenye dhamana Mhe. @mohamed_mchengerwa imeongeza idadi ya vituo vya kujiandikisha kutoka 37,814 mwaka 2019 hadi vituo 40,126 mwaka 2024 ikiwa ni sawa na ongezeko la vituo 2,312.

Ongezeko hili limechochea kuongezeka kwa hamasa ya wananchi kujiandikisha kwani vituo vimesogezwa karibu na makazi au biashara zao na muda wa kusimama kwenye foleni kusubiri kujiandikisha umepungua kwa kiasi kikubwa.

Ikiwa leo ni siku ya mwisho kwa zoezi la wananchi kujiandikisha katika daftari la mkaazi ambalo limeenda kwa mafanikio makubwa, Pongezi nyingi ziende kwa Mhe. Rais Dkt. @Samia_Suluhu_Hassan kwa kuimarisha Demokaria nchini, hali inayomuwezesha kila mwananchi kushiriki kikamilifu katika kutimiza wajibu wake kikatiba.

Tufuatilie zaidi kupitia kurasa zetu @kamusi_halisi

#KamusiYaMaendeleo

View attachment 3130790

Why mpaka imetoka hamasa?
Why singetangazwa tarehe then watu wakaenda Tu wenyewe

Hapo kuna shida somewhere
 
Back
Top Bottom