Hamis Kigwangalla: Nashauri Rais asisaini muswada

Moderators,

Hii ni habari ya uongo. Mawio wamechukua habari yangu kwenye mtandao kisha waka-edit kichwa cha habari na kuweka cha kwao. Huyu naye ameokota mistari miwili mitatu na kuweka ----- wake kisha kubandika hapa...Makala yangu halisi ni ile iliyopo Rai Mwema ya wiki iliyopita.

Regards,
HK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…