Kiiza Karibu Sana Tanzania na Simba lakini UsiTambe sana Magazetini.Ngoja tuone maajabu ya musa!! Mwaka huu kwa kiiza!
kiemba na banka mbona walitoka yanga kwenda simba na wakafanya vizuri
UGSimba Sc
una maanisha..!!??UGSimba Sc
kiemba na banka mbona walitoka yanga kwenda simba na wakafanya vizuri
Hiyo siyo tetesi bali ni kweli Hamis Kiiza kasajiri Simba SC jioni hii.
My take:Hakuna mchezaji aliye wahi kutoka Yanga kwenda Simba akapaform vzr.
Unawakumbuka hawa?
LUNYAMILA,MMACHINGA,MATHIAS MULUMBA,MAFTA JNR N.K.
Jee Kiiza atabadirisha upepo?
kumanisha...!!?
kiiza mpira ulishakwisha huyo...
Kama dan sserunkuma alishindwa kucheza mpira akiwa simba, sioni winga yoyote wa kiganda kwa sasa kufanya maajabu yoyote hapo msimbazi...
Wameanza lini kuchukua "makapi "
bogus statement! Okwi ni mtanzania?