Hamis Kiiza 'Diego' amwaga wino Simba!

Hivi kweli mnashangilia Simba kumchukua Kiiza? mtu hajacheza season yote, na wala hamjui kiwango chake? hapa kuna matatizo makubwa na kamati ya usajili ya Simba.
 
Anaitwa Hamid Kiiza Diego kawapiga kimoja tu. Subiri report kesho
 
Hiyo siyo tetesi bali ni kweli Hamis Kiiza kasajiri Simba SC jioni hii.My take:Hakuna mchezaji aliye wahi kutoka Yanga kwenda Simba akapaform vzr.Unawakumbuka hawa?LUNYAMILA,MMACHINGA,MATHIAS MULUMBA,MAFTA JNR N.K.Jee Kiiza atabadirisha upepo?
Gaidi alikuwa anataka watu.
 
[emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…