Yuko wapi huyu chawa no 1 wa ENL ? Alikuwa nguvu sana ...mwebyekiti ccm Shy...plus Msukuma huyu huyu .....aligeuka gia angani daaa siasa nyokooAmeyasema hayo alipozungumza na gazeti la Mwananchi kufuatia Msiba wa Rafiki yake Lowassa
View attachment 2899981
Daaaa sidhani msibani kutafakari safari yetu maisha duniani....wavumiliane tu.....KM CCM sasa....vs Msoga Gang vs Sukuma Gang....shida....Unaambiwa kuna watu watatimuliwa makaburini , Subiri
Watajuana wanagombania rasilimali zetu tuDaaaa sidhani msibani kutafakari safari yetu maisha duniani....wavumiliane tu.....KM CCM sasa....vs Msoga Gang vs Sukuma Gang....shida....
Mgeja hakuwahi kumsaliti Edo. Kila alipokuwepo, naye alikuwepo!Yuko wapi huyu chawa no 1 wa ENL ? Alikuwa nguvu sana ...mwebyekiti ccm Shy...plus Msukuma huyu huyu .....aligeuka gia angani daaa siasa nyokoo
Msukuma ni mzee wa FURSA + WIZI..alisema mwenyewe akiwa Star tv,kwamba alikuwa akibebeshwa dhahabu mwilini,na kuvusha kwenda Kenya,..kwa kuwa alikuwa na kamwili kadogo,Askari hawakumuhisi kama ana mzigo,..HAFAIMgeja hakuwahi kumsaliti Edo. Kila alipokuwepo, naye alikuwepo!
Tofauti na "MSALITI" King Msukuma!
Mwendazake alifanywa nini mkuuBora lowasa walimtukana akajua kabisa nafasi yake mioyoni mwao!!
Mwendazake yeye ndio hakujua hats mbaya wake Nani hadi anaenda coz waliomsifu na Sasa wanaendelea kutaja jina lake ndio. Hao hao!!!..
Siasa noma Santa!
Azizi yupo kundi gani kati ya haya mkuuDaaaa sidhani msibani kutafakari safari yetu maisha duniani....wavumiliane tu.....KM CCM sasa....vs Msoga Gang vs Sukuma Gang....shida....
Siku hizi ni chawa wa Abdul yuko Kizi City sasa...Azizi yupo kundi gani kati ya haya mkuu
Kiienglish ni shughuli kwa mtzwho is it?
Kwahiyo we unadhani sijui pronoun?Kiienglish ni shughuli kwa mtz
Haya mambo ya eti vijana walitaka kuingia mtaani wakaambiwa watulie huwa inanikera kweli. Muwe mnaambizana uchochoroni!Ameyasema hayo alipozungumza na gazeti la Mwananchi kufuatia Msiba wa Rafiki yake Lowassa
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Sinyanga na rafiki wa karibu wa Hayati Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hamisi Mgeja amesema kiongozi huyo alikuwa na uvumilivu wa hali ya juu kiasi cha kuwasamehe waliomtukana.
Akizungumza kwa simu na Mwananchi leo Februari 10, 2024, Mgeja amesema, “Lowassa alikuwa mvumilivu sana, alitukanwa na alibezwa na kuna watu walipandishwa vyeo kwa sababu ya kumtukana, lakini hakuwajibu, bali alisema wasameheni kwa kuwa hawajui watendalo."
Akifafanua kuhusu uvumilivu huo, Mgeja amekumbuka uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ambao Hayati Hohn Magufuli wa CCM alitangazwa mshindi kwa kupata zaidi ya asilimia 58 ya kura, Lowassa aliyepata zaidi ya asilimia 39 aliwazuia vijana waliopinga matokeo hayo.
“Baadhi ya vijana ambao hawakuridhishwa na matokeo yale, walikusanyika wakamwambia tunasubiri ruhusa yako tuingie barabarani.
“Lakini yeye kwa busara zake akawaambia wavumilie kwa matokeo yale na kwamba hayuko tayari kuingia Ikulu mikono ikiwa imejaa damu,” amesema Mgeja.
WENGI SANA HATA MAJINA YA VYEO WALIVYOPANDISHWA VINAJULIKANAAmeyasema hayo alipozungumza na gazeti la Mwananchi kufuatia Msiba wa Rafiki yake Lowassa
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Sinyanga na rafiki wa karibu wa Hayati Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hamisi Mgeja amesema kiongozi huyo alikuwa na uvumilivu wa hali ya juu kiasi cha kuwasamehe waliomtukana.
Akizungumza kwa simu na Mwananchi leo Februari 10, 2024, Mgeja amesema, “Lowassa alikuwa mvumilivu sana, alitukanwa na alibezwa na kuna watu walipandishwa vyeo kwa sababu ya kumtukana, lakini hakuwajibu, bali alisema wasameheni kwa kuwa hawajui watendalo."
Akifafanua kuhusu uvumilivu huo, Mgeja amekumbuka uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ambao Hayati Hohn Magufuli wa CCM alitangazwa mshindi kwa kupata zaidi ya asilimia 58 ya kura, Lowassa aliyepata zaidi ya asilimia 39 aliwazuia vijana waliopinga matokeo hayo.
“Baadhi ya vijana ambao hawakuridhishwa na matokeo yale, walikusanyika wakamwambia tunasubiri ruhusa yako tuingie barabarani.
“Lakini yeye kwa busara zake akawaambia wavumilie kwa matokeo yale na kwamba hayuko tayari kuingia Ikulu mikono ikiwa imejaa damu,” amesema Mgeja.
Ni mmoja wa mafisadi wa Tanzaniawho is it?
Pale Iringa, kwenye mkutano wa kampeni, alisema Lowasa ni mwizi kama KUNGURUNape kazi anayo