Hamis Mgeja adai kuna waliopandishwa vyeo kwa sababu ya ‘kumtukana Lowassa’

Mgeja hakuwahi kumsaliti Edo. Kila alipokuwepo, naye alikuwepo!
Tofauti na "MSALITI" King Msukuma!
Msukuma ni mzee wa FURSA + WIZI..alisema mwenyewe akiwa Star tv,kwamba alikuwa akibebeshwa dhahabu mwilini,na kuvusha kwenda Kenya,..kwa kuwa alikuwa na kamwili kadogo,Askari hawakumuhisi kama ana mzigo,..HAFAI
 
Mgeja anaamini hao vijana (BAVICHA) wangeruhusiwa kweli hiyo 2015, wangeingia barabarani?😁.

2020 walihamasishwa kabisa kuingia road na yule jamaa ila wakayeyuka!

Lowassa hakuwa na mihemko, alikuwa na picha halisi ya waomba ruhusa hivyo akajua ni ndezi tu wanaomchora.
 
Haya mambo ya eti vijana walitaka kuingia mtaani wakaambiwa watulie huwa inanikera kweli. Muwe mnaambizana uchochoroni!
 
WENGI SANA HATA MAJINA YA VYEO WALIVYOPANDISHWA VINAJULIKANA
R.I.P LOWASSA wewe ni RAIS wa Mioyo ya Watanzania MUNGU akupe Pumziko Stahiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…