Suley2019 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2019 Posts 2,203 Reaction score 5,610 Jul 17, 2020 #1 Mwandishi wa Habari Uhuru Media Group (UMG) Hamis Shimye amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mwandishi wa Habari Uhuru Media Group (UMG) Hamis Shimye amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,263 Jul 17, 2020 #2 Huyu mwandishi wa karatasi la uhuru linalopotosha na kuandika ushenzi kila siku sasa si anaenda kuwapotosha na kuwaletea ushenzi wana kigoma?....... Mpigeni chini hatutaki virus bungeni
Huyu mwandishi wa karatasi la uhuru linalopotosha na kuandika ushenzi kila siku sasa si anaenda kuwapotosha na kuwaletea ushenzi wana kigoma?....... Mpigeni chini hatutaki virus bungeni