Hamisa bado anampenda sana Diamond, hii couple mpya anayoitangaza ni feki

Hamisa bado anampenda sana Diamond, hii couple mpya anayoitangaza ni feki

Mondi alikosa familia yenye jicho la tatu la kuona mbali ilo wamshauri.

Anita kinje binafsi nampongeza kama kaamua bila unafiki kuvumilia ya ndani kwake. Manake hata akiachika Leo hata kutana na malaika amuoe. Na it's better to live with the devil you know than an angle you don't know
Ok, i hope you will give her this same advice when she is in bed suffering from maradhi aliyoletewa na mumewe. All in the name of "hatapata mwingine". Are you as a person, not enough unless you have someone who has no respect for you and could potentially bring disease into your life?
 
Hamisa anaugua Post relationship mental disorder.
Haiwezekani ukatoka kuachwa na msanii anaetisha Africa nzima uende kuangukia kwa muosha maiti wa kinaijeria.
Huyo mtu mwenye mikono kama mitungi ya gesi hawezi kumfikia Naseeb kwa chochote kile
Haters bana wavha statute furaha ya moyo, pesa tukifa tunaacha
 
Back
Top Bottom