Tetesi: Hamisa kanyang'anywa mtoto na Majizo!!

Wakawaida Sana Na Huo Mnyoo Wa Nywele Inaonyesha Jinsi Gani Wanamuandaa Kuwa Kahaba Wa Baadaye.Mtoto Umleavyo Ndivyo Akuavyo
 
Mtoto ni mtoto tu. Hawagi mbaya hata siku moja labda mzazi huwe humjali mwanao.
 
Huyu bnt atakuja jkuta hana ktu mwsho wa sku. Mwache aendekeze masocial media.
 
Ndo washauri wa Hamisa hawa!

Hivi kwa akili yako ulitarajia kabisa kuna mwanaume aliye tayari kuachana na mwanamke aliye committed nae simply because amezaa nae?!

Ujinga kama sio upumbavu wa Hamisa ni pale alipotaka hadi Instagram wajue kwamba amezaa na Diamond wakati at family level tayari walishakubali hilo suala!

Hoja yako ingekuwa ya msingi endapo Diamond angekuwa amemkana Hamisa lakini hakumkana.

Diamond alikubali na alikuwa ana-take responsibility! Familia ya Diamond na wenyewe hawakuwa na namna so long as Diamond keshakubali! Sasa wewe kama mwanamke, what else ambacho ungehitaji?! Hadi akina Mange wajue kwamba amemkomesha Zari?!

Ni kutokana na huo ujinga ndio maana hata akina Bi. Sandra wakamgeuka na kumuona adui wakati zamani walikuwa pamoja nae!

Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini huyo Bi. Sandra awe against Hamisa hivi sasa wakati zamani walikuwa vizuri?

Kama ulitarajia kuna mama ambae angesimama pamoja na mwanamke anayeonesha wazi anataka kuvuruga familia ya mtoto wake then una safari ndefu ya kujifunza!

 
Ndio maana nmekuuliza
huyo diamond ana mema gani? kuzaa nje ya main chick tu sio jambo jema...means una mahusiano yaliyokomaa na mtu nje mpaka umezaa...

bi sandra kutwa IG anarusha madongo ,kwahyo ndio mwema[emoji23] [emoji23] [emoji23]

kila mtu ana mapungufu yake ,msimuelemezee hamisa ubovu wote.
hivi tulivokua hatujui kuwa kazaa na mond watu walikesha kumtukana binti wa watu miezi... Hana nyongo? yy bikira maria?

kuna leo na kesho kaka/dada kama asingeweka wazi ana mtt wa nje, ndugu zake wengine wangekubaliana na hilo swala?
lkn kwa sasa lazima afanye majukumu kama baba, amlee mwanae kama watt wake wengine ,huo ndio uwanaume ambao umeyamwaga mambo lazima uyazoe!

hatusemi hamisa anafanya mazuri, Idgaf about her
lakini sipendi kuona mnamuona yeye ndio mbaya sana.. mnasahau kuna mbebesha mimba,kuna ndugu waliolijua hilo....
kama wabaya n wote sio yy pekee!!!
 
Huna tofauti na Hamisa Mobeto. Akili sawa. Moja ya hatari zilizopo kwenye dunia hii ni kuwa na wanawake type yako
 
Huna tofauti na Hamisa Mobeto. Akili sawa. Moja ya hatari zilizopo kwenye dunia hii ni kuwa na wanawake type yako
leta Hoja
Kuwa na akili sawa na Mobetto sio hoja kwasababu hujanipima Ubongo wala Mkojo.


pingana kwa Hoja[emoji41]
 
Aisee !
Hicho kitoto Miaka 20 ijayo atakuwa Kama sio DC Basi Mbunge wa Viti Maalum chini ya Utawala wa kina Kikwete wa baadae!
Au atakuwa Wema wa baadae akimsaidia 'mwenyekiti' wa upinzani na kiongozi wa bunge wa baadae !
 
Da Mange mbona ndo mshauri wa Bavicha !
 
Mtoto ni mtoto tu. Hawagi mbaya hata siku moja labda mzazi huwe humjali mwanao.
Mtoto ukisha mkosea kwenye foundation ya malezi akiwa mtoto, huyo lazma awe mbaya na ni hasara siyo kwa familia tu hadi kwa jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…