Ndio maana nmekuuliza
huyo diamond ana mema gani? kuzaa nje ya main chick tu sio jambo jema...means una mahusiano yaliyokomaa na mtu nje mpaka umezaa...
bi sandra kutwa IG anarusha madongo ,kwahyo ndio mwema[emoji23] [emoji23] [emoji23]
kila mtu ana mapungufu yake ,msimuelemezee hamisa ubovu wote.
hivi tulivokua hatujui kuwa kazaa na mond watu walikesha kumtukana binti wa watu miezi... Hana nyongo? yy bikira maria?
kuna leo na kesho kaka/dada kama asingeweka wazi ana mtt wa nje, ndugu zake wengine wangekubaliana na hilo swala?
lkn kwa sasa lazima afanye majukumu kama baba, amlee mwanae kama watt wake wengine ,huo ndio uwanaume ambao umeyamwaga mambo lazima uyazoe!
hatusemi hamisa anafanya mazuri, Idgaf about her
lakini sipendi kuona mnamuona yeye ndio mbaya sana.. mnasahau kuna mbebesha mimba,kuna ndugu waliolijua hilo....
kama wabaya n wote sio yy pekee!!!