Tetesi: Hamisa kanyang'anywa mtoto na Majizo!!

Ulivyojichanganya sasa!!! Unapoonda uovu mmoja kwa kutetea uovu mwingine duuuh!! Kama ndio hivyo basi hata Hamisa usimshangae.
 
H
Embu nipishee hukoo
Hata mimi nimemwambia hivyo kabaki anajishau kuwa ''eti sio lazima nitoe comments,''uelewa wa wengine unastajabisha sana sijui angekuwa ndie mwanawe katolewa hiyo picha angefurahi
 
H

Hata mimi nimemwambia hivyo kabaki anajishau kuwa ''eti sio lazima nitoe comments,''uelewa wa wengine unastajabisha sana sijui angekuwa ndie mwanawe katolewa hiyo picha angefurahi
Wao wenyewe Ndio wanawadhalilisha watoto Wao na kutafuta kiki mjini.
 
Ulivyojichanganya sasa!!! Unapoonda uovu mmoja kwa kutetea uovu mwingine duuuh!! Kama ndio hivyo basi hata Hamisa usimshangae.
Isije ikawa wewe ndo umejichanganya! Nimeponda uovu upi na nimetetea upi?!
 
Kweli hao wabongo wengi wenye nyoyo dhaifu, chuki, husda na roho mbaya na wewe umo. Maana kuna unao wachukia pia. So sio mbaya na hamisa naye kuchukiwa na wengine
Eti matoto [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…