Hamisa Mabeto,kifaa kipya cha Diamond pPatnumz

Father xmas umeniua mbaya. mm nilimwona wakawaida ila hiyo picha yenye bikin ndio nimempa uhalali wote. Kama vip tuiweke kwenye noti ya shillingi Elfu Tano ya Tanzania

Acha tu baba.
Wazo lako zuri,ila naapa wakimweka kwenye noti feki naingia porini kuanzisha vita vya kikabila.
 
Piga mambo mzee,,kesho na kesho kutwa mama akuuguzee ngoma. Haya maisha banaa
 
Mtoto mzuri kama huyu unatomba na kufira tani yako kama una hela zako
 

tena noti ya elfu kumi...! hamisa ni noumer!
 
Wema ana kazi.nasikia Huyu hadi mamamkwe anamkubali. bonus tena
Huyo mama naye naona kasha sahau wajibu/wake wa msingi kwa mwanae, kabaki na kazi ya kutia pata au kosa!
 

oooh my God.. kama ndo yule my baby wa Quick Rocka..... she's out of this world.
 
Mbona kama kizee wema kipezidiwa hapa kwa huyu mrembo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Washamba ndo wanamtamani kwa macho, huku mtaani kwetu anaitwa Hamisa Kiboga!!! waulize temeke :A S 27:.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…