mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Nimeamini ule usemi "adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake"
We jiulize ushawahi kumuona mwanaume anajisifia amezaa na mwanamke wa fulani?unajua kwa sababu gani ?simply ni aibu na inashusha utu wako
Njaa ni kitu kibaya sana utegemezi unafanya mtu adhalilike au kuna uhaba wa wanaume kiasi hiki?
Watu ambao wamekulia maisha ya single mother usim judge vibaya baba yako he might be innocent kama mambo yenyewe ndio haya
NB:
Hamisa ni mama mwenye mtoto mmoja tayari (single mother) kabla hajafanya maamuzi yakuzaa mtoto huyu mwingine (babaless)
A mistake is made once ukirudia inakua choice ,my focus ni kwa mtoto ambaye ni victim wa decision za wazazi (pandora box)
We jiulize ushawahi kumuona mwanaume anajisifia amezaa na mwanamke wa fulani?unajua kwa sababu gani ?simply ni aibu na inashusha utu wako
Njaa ni kitu kibaya sana utegemezi unafanya mtu adhalilike au kuna uhaba wa wanaume kiasi hiki?
Watu ambao wamekulia maisha ya single mother usim judge vibaya baba yako he might be innocent kama mambo yenyewe ndio haya
NB:
Hamisa ni mama mwenye mtoto mmoja tayari (single mother) kabla hajafanya maamuzi yakuzaa mtoto huyu mwingine (babaless)
A mistake is made once ukirudia inakua choice ,my focus ni kwa mtoto ambaye ni victim wa decision za wazazi (pandora box)