Hamisa Mabeto na fahari ya kuzaa na mume wa mtu

Hamisa Mabeto na fahari ya kuzaa na mume wa mtu

Sema ameona fahari kuzaa na bwana wa mwanamke alieachikaga kwa mumewe
 
Sijaelewa hapa Hamisa mobeto ni nani...?
Na huyo mume alozaa nae ni nani...?
Tueleweshane hapo kwanza.

Kama huna unayemjua kati yao wote taarifa hii haikuhusu.

Kama mimi ambavyo hainihusu kwa hiyo naiangalia tu.
 
Zari kaolewa lini?
Yeye mbona aliibiwa bwana aliyezaa nae?

My own brand!!
 
Mwanamme ukimwona mwanamke mzuri ukampenda.
Then akakuambia mama yake Ni single mother, kimbia ufe. Single mother always watazaa single mother, chunguza unapoishi.
Muongooo...hizo ni chuki binafs!!

My own brand!!
 
Sikujua kama diamond kaoa ndiyo nimejua hapa, yaan kuzaa kwa hamissa kuna watu wanaumia mpaka basi!!

Hivi yeye ndiyo wa kwanza? Tena liwe funzo kwa wanawake wanaokaa mbali na wanaume zao

Mwanaume tanzania mke south alitegemea nini tena kwa mtu kama mond anaetazamwa na kina dada wengi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
dah..mademu hawanaga akili..kama wewe hapa..ndio maana sitakaa nioe kamwe....sasa funzo kivipi mtu kukaa mbali na mwenza wake kwa sababu za kutafuta kimaisha?

Alafu kama mimi ndio mond yule demu hamisa sio demu wa kuwa naye...ni wa kugonga tu ..kwa sababu akili hana alafu ni beki....hawezi msaidia chochote hata mawazo in life
 
Nimeamini ule usemi "adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake"
We jiulize ushawahi kumuona mwanaume anajisifia amezaa na mwanamke wa fulani?unajua kwa sababu gani ?simply ni aibu na inashusha utu wako

Njaa ni kitu kibaya sana utegemezi unafanya mtu adhalilike au kuna uhaba wa wanaume kiasi hiki?

Watu ambao wamekulia maisha ya single mother usim judge vibaya baba yako he might be innocent kama mambo yenyewe ndio haya
Hayo watajua wao
 
Nimeamini ule usemi "adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake"
We jiulize ushawahi kumuona mwanaume anajisifia amezaa na mwanamke wa fulani?unajua kwa sababu gani ?simply ni aibu na inashusha utu wako

Njaa ni kitu kibaya sana utegemezi unafanya mtu adhalilike au kuna uhaba wa wanaume kiasi hiki?

Watu ambao wamekulia maisha ya single mother usim judge vibaya baba yako he might be innocent kama mambo yenyewe ndio haya
Diamond Alioa tarehe gani vile?
 
Diamond Alioa tarehe gani vile?
Mimi nayaangalia maisha ya mtoto na maamuzi ya mama yake kumbuka Hamisa ni single mother na wala hajutii maamuzi aliyoyafanya kwa mtoto wake wa pili (babaless)
 
dah..mademu hawanaga akili..kama wewe hapa..ndio maana sitakaa nioe kamwe....sasa funzo kivipi mtu kukaa mbali na mwenza wake kwa sababu za kutafuta kimaisha?

Alafu kama mimi ndio mond yule demu hamisa sio demu wa kuwa naye...ni wa kugonga tu ..kwa sababu akili hana alafu ni beki....hawezi msaidia chochote hata mawazo in life
yaah hata mimi mwanaume kama wewe asingenifaa kutwa kuwafuatilia wakina hamissa mitandaoni maisha unawaza saa ngapi!! hayo mambo tuachie dada zenu!!
 
yaah hata mimi mwanaume kama wewe asingenifaa kutwa kuwafuatilia wakina hamissa mitandaoni maisha unawaza saa ngapi!! hayo mambo tuachie dada zenu!!
khaa sasa mi hata demu sitaki...so haina haja
mimi napiga wale wahaya wa buku 2 tu nimemaliza..afteral wewe na wahaya wale mnalingana tu..hakuna tofauti
 
Back
Top Bottom