Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Watu ambao wamekulia maisha ya single mother usim judge vibaya baba yako he might be innocent kama mambo yenyewe ndio haya
Mimi sijakataa ila unajisikiaje kile unachokimiliki wewe asilimia kubwa anatokea mtu anakuambia nina percentage zangu very eagerlyKwan Diamond kaoa lini??
Hujui mwanaume anaruhusiwa wake wanne, ni uwezo wake tu wakuwahudumia kimwili na mahitaji.
Mwanaume hamilikiw.Mimi sijakataa ila unajisikiaje kile unachokimiliki wewe asilimia kubwa anatokea mtu anakuambia nina percentage zangu very eagerly
Mitazamo hii ya wanawake kama nyinyi ndio inayotupa fursa ya kuwatumia tutakavyo.Mwanaume hamilikiw.
Na mimi unitag mkuu...maana hii kazi ya ukuli nayofanya sio mchezo.Aisee upo kama mimi, akikujibu naomba unitag na mimi niwajue
Pesa Zako, nguvu Zako humkomoi mtu.Mitazamo hii ya wanawake kama nyinyi ndio inayotupa fursa ya kuwatumia tutakavyo.
Akikutag naomba na Mimi unitagAisee upo kama mimi, akikujibu naomba unitag na mimi niwajue
Zari ni mke wa Diamond, watu msikariri.Siyo kila ndoa lazima ifungwe masikini au kanisaniSikujua kama diamond kaoa ndiyo nimejua hapa, yaan kuzaa kwa hamissa kuna watu wanaumia mpaka basi!!
Hivi yeye ndiyo wa kwanza? Tena liwe funzo kwa wanawake wanaokaa mbali na wanaume zao
Mwanaume tanzania mke south alitegemea nini tena kwa mtu kama mond anaetazamwa na kina dada wengi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji40][emoji40][emoji40]Hamisa kazaa na mume wa mtu??ni yupi huyo??
Kwa ndoa ipi? hata uchumba bado unasema mke[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo unabishana na mond aliesema anajiandaa kwenda kujitambulisha kwa baba zari?Zari ni mke wa Diamond, watu msikariri.Siyo kila ndoa lazima ifungwe masikini au kanisani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeamini ule usemi "adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake"
We jiulize ushawahi kumuona mwanaume anajisifia amezaa na mwanamke wa fulani?unajua kwa sababu gani ?simply ni aibu na inashusha utu wako
Njaa ni kitu kibaya sana utegemezi unafanya mtu adhalilike au kuna uhaba wa wanaume kiasi hiki?
Watu ambao wamekulia maisha ya single mother usim judge vibaya baba yako he might be innocent kama mambo yenyewe ndio haya