Hamisa Mobeto adai kutokuwa na mpenzi

Huyu demu tatizo ana jipiga ma editings mno ana changanya changanya ma camera 360 mara ma saturation, contrast, shadow watu waki muona wana paaaagawa.. yeye mwenyewe alisha sema she doesn't care 360 milele... ndio yule wa kwenye video ya abdukiba --hatuna habari nao...ndio muone kama ni mweupe au mweusi?
 
Hamisa ni mchepuko wa diamond

its true diamond alipiga piga pale... huyu demu alikua anakaa hapa knyama karibu na kanisa la kkt chuo cha teofilo kisanji... na tumemshuhudia diamond akimuijia usiku mara kadhaa
 

Pyuuu wasanii wa bongo ni kichefuchefu kwa uongo na unafiki
 
hivi ana achievements gani huyu? au nyie mnamjua kwa lipi? umaarufu wake unatokana na nini???????????????
hana lolote.kwao ndo utamuhurumia.hakuna hata tiles kutwa kwenye majumba ya wenzio.shame on her.
 
Huyu analiwa na mwanangu mmoja hv sio star wala nn yupo kino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…