Mji umezidi kuwa mzito aisee mwanadada Hamisa Mobeto ameandika barua ya kumshitaki Kajala kwa kutoa tuhuma za uongo kwenye post yake aliyopost hivi karibu. Kamwambia Kama atamuomba radhi kwa public na kutofuta ujumbe huo wa tuhuma dhidi yake ndani ya masaa 12 atamfungulia kesi ya kuchafua brand yake.
NB: Kajala vitu vingine angekausha hela atakayoenda kukamuliwa hapo Kama atatii amri na ukichanganya na ukiherehere wa Bwana wake kondeboy utawatokea puani.
NB: Kajala vitu vingine angekausha hela atakayoenda kukamuliwa hapo Kama atatii amri na ukichanganya na ukiherehere wa Bwana wake kondeboy utawatokea puani.