Hamisa Mobeto amtaka Kajala kumwomba msamaha na kufuta ujumbe wa Instagram ndani ya saa 12

Hamisa Mobeto amtaka Kajala kumwomba msamaha na kufuta ujumbe wa Instagram ndani ya saa 12

Kwahiyo Paula akishasema tu ama kukili kuwa alinyweshwa bia na Hamisa kesi inakuwa imeshaisha na Hamisa atatakiwa kulipa mkwanja mrefu!?
Chief, umesomea sheria chuo gani?
Evidence law,,inataka shutuma za kajala zipate shahidi ili kuziprove right,,sasa kuna shahidi mwenye nguvu katika ishu hii zaidi ya paul..?
Hamisa anadai,nguo alizovaa paul siku hiyo ni tofauti na za kwenye audio visual,lakini hana ushahidi,,
Anadai alimtoa paul out na kumrudisha kwa mamake,je anao ushahidi,,,na kama ni kweli,,haiondoi uwezekano kuwa alimrudisha baada ya kuwa amebakwa
 
Mji umezidi kuwa mzito aisee mwanadada Hamisa Mobeto ameandika barua ya kumshitaki Kajala kwa kutoa tuhuma za uongo kwenye post yake aliyopost hivi karibu. Kamwambia Kama atamuomba radhi kwa public na kutofuta ujumbe huo wa tuhuma dhidi yake ndani ya masaa 12 atamfungulia kesi ya kuchafua brand yake.

NB: Kajala vitu vingine angekausha hela atakayoenda kukamuliwa hapo Kama atatii amri na ukichanganya na ukiherehere wa Bwana wake kondeboy utawatokea puani.

Huyo kajala maisha yake kudanga mpka na wajinga,hela hana mpka auze mbuchuchu
 
Ningekuwa wakili wa kajala,namshauri tu paulo akiri kuwa alinyweshwa bia na kurubuniwa na hamisa na huyo mwenzake,,case closed na kibao kinamgeukia hamisa na yeye ndo atalipa mkwanja mrefu ili kuyamaliza nje ya mahakama..

Ila bifu litakalolipuka hapo ni la kimataifa
 
Tamko la muhusika (Paula) hili hapa
FB_IMG_16134775140305334.jpg
 
Evidence law,,inataka shutuma za kajala zipate shahidi ili kuziprove right,,sasa kuna shahidi mwenye nguvu katika ishu hii zaidi ya paul..?
Hamisa anadai,nguo alizovaa paul siku hiyo ni tofauti na za kwenye audio visual,lakini hana ushahidi,,
Anadai alimtoa paul out na kumrudisha kwa mamake,je anao ushahidi,,,na kama ni kweli,,haiondoi uwezekano kuwa alimrudisha baada ya kuwa amebakwa
Unajisikiaje ukisoma Hizi pumba ulizoandika?
 
Mji umezidi kuwa mzito aisee mwanadada Hamisa Mobeto ameandika barua ya kumshitaki Kajala kwa kutoa tuhuma za uongo kwenye post yake aliyopost hivi karibu. Kamwambia Kama atamuomba radhi kwa public na kutofuta ujumbe huo wa tuhuma dhidi yake ndani ya masaa 12 atamfungulia kesi ya kuchafua brand yake.

NB: Kajala vitu vingine angekausha hela atakayoenda kukamuliwa hapo Kama atatii amri na ukichanganya na ukiherehere wa Bwana wake kondeboy utawatokea puani.

Rais kasema watumie Kiswahili..

Hakuna atayewaelewa. BushLawyers...
 
Back
Top Bottom