Sasa unataka wote tuingie lab?Dunia kwa sasa hivi inahangaika kutafuta solution ya janga la Coronavirus ila wengine wanahangaika na issue za Kajala na Mabeto!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah lolSasa unataka wote tuingie lab?
Ndiyo maana Sheria inatutaka simu iwe na nywila, uko responsible na kile kinachotokea kwenye akaunti yako haijalishi Kama simu imeibiwa. Ila konde kachafua Sana jamaa mnafiki Sana Pfunk baba mzazi kapiga kimya yeye mstari wa mbele.Atakayechapika ni Mmakonde , si amejifanya mjuaji , mara paap Kajala anasema mi simu yangu aliichukua konde boy nikiwa bafuni narudi nakuta amepost na ameing'ang'ania mpak sa hv ๐๐๐ Konde boy mavi yanagonga chupi yanarudi..... Tunahitaj one billion cash , huwez chafua brand ya mtu kidenzi namna hiyo๐คช๐คช๐
๐๐๐ ni Tanzania ya viwanda hiiDunia kwa sasa hivi inahangaika kutafuta solution ya janga la Coronavirus ila wengine wanahangaika na issue za Kajala na Mabeto!
Picha limeanza anza sasa.. hapo pa kuambiwa aombe msamaha public na kufuta bango lake.. ni patamu sanaaaaa ๐๐๐๐๐.. niongezeee gahawa tu.. hapa sitokiBado rayvanny hajampelekea nae barua๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ atakoma๐๐๐๐
Sikiliza wimbo wa konde boy -anajikoshaAtakayechapika ni Mmakonde , si amejifanya mjuaji , mara paap Kajala anasema mi simu yangu aliichukua konde boy nikiwa bafuni narudi nakuta amepost na ameing'ang'ania mpak sa hv [emoji3][emoji3][emoji3] Konde boy mavi yanagonga chupi yanarudi..... Tunahitaj one billion cash , huwez chafua brand ya mtu kidenzi namna hiyo[emoji2957][emoji2957][emoji125]
Mkuu nimebakiwa na juisi ya pilipili tu, vipi unatumiaga๐๐๐๐, hata hivi ilikuwa ni order ya mjomba nchumari๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃPicha limeanza anza sasa.. hapo pa kuambiwa aombe msamaha public na kufuta bango lake.. ni patamu sanaaaaa ๐๐๐๐๐.. niongezeee gahawa tu.. hapa sitoki
Hiyo juice ya pilipili mpe Njomba Nchumali tu.. itampendeza sanaaa ๐๐๐Mkuu nimebakiwa na juisi ya pilipili tu, vipi unatumiaga๐๐๐๐, hata hivi ilikuwa ni order ya mjomba nchumari๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Nimemwekea jagi zake mbili hapa namsubiri๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃHiyo juice ya pilipili mpe Njomba Nchumali tu.. itampendeza sanaaa ๐๐๐