Evidence law,,inataka shutuma za kajala zipate shahidi ili kuziprove right,,sasa kuna shahidi mwenye nguvu katika ishu hii zaidi ya paul..?Kwahiyo Paula akishasema tu ama kukili kuwa alinyweshwa bia na Hamisa kesi inakuwa imeshaisha na Hamisa atatakiwa kulipa mkwanja mrefu!?
Chief, umesomea sheria chuo gani?
Ushahidi ni vidio.Kwahiyo Paula na Kajala ndio watakuwa wasemaji wa mwisho, hakuna haja ya ushahidi kuthibisha watakachokisema Paula na Kajala?
Huyo kajala maisha yake kudanga mpka na wajinga,hela hana mpka auze mbuchuchuMji umezidi kuwa mzito aisee mwanadada Hamisa Mobeto ameandika barua ya kumshitaki Kajala kwa kutoa tuhuma za uongo kwenye post yake aliyopost hivi karibu. Kamwambia Kama atamuomba radhi kwa public na kutofuta ujumbe huo wa tuhuma dhidi yake ndani ya masaa 12 atamfungulia kesi ya kuchafua brand yake.
NB: Kajala vitu vingine angekausha hela atakayoenda kukamuliwa hapo Kama atatii amri na ukichanganya na ukiherehere wa Bwana wake kondeboy utawatokea puani.
Ningekuwa wakili wa kajala,namshauri tu paulo akiri kuwa alinyweshwa bia na kurubuniwa na hamisa na huyo mwenzake,,case closed na kibao kinamgeukia hamisa na yeye ndo atalipa mkwanja mrefu ili kuyamaliza nje ya mahakama..
Chief, hivi hata video yenyewe umeiona?Ushahidi ni vidio.
Unajisikiaje ukisoma Hizi pumba ulizoandika?Evidence law,,inataka shutuma za kajala zipate shahidi ili kuziprove right,,sasa kuna shahidi mwenye nguvu katika ishu hii zaidi ya paul..?
Hamisa anadai,nguo alizovaa paul siku hiyo ni tofauti na za kwenye audio visual,lakini hana ushahidi,,
Anadai alimtoa paul out na kumrudisha kwa mamake,je anao ushahidi,,,na kama ni kweli,,haiondoi uwezekano kuwa alimrudisha baada ya kuwa amebakwa
Rais kasema watumie Kiswahili..Mji umezidi kuwa mzito aisee mwanadada Hamisa Mobeto ameandika barua ya kumshitaki Kajala kwa kutoa tuhuma za uongo kwenye post yake aliyopost hivi karibu. Kamwambia Kama atamuomba radhi kwa public na kutofuta ujumbe huo wa tuhuma dhidi yake ndani ya masaa 12 atamfungulia kesi ya kuchafua brand yake.
NB: Kajala vitu vingine angekausha hela atakayoenda kukamuliwa hapo Kama atatii amri na ukichanganya na ukiherehere wa Bwana wake kondeboy utawatokea puani.