Hamisa Mobeto ana mchango gani kwenye sekta ya madini? Wizara ya Madini mjitafakari sana kuelekea TMIC2024

Hamisa Mobeto ana mchango gani kwenye sekta ya madini? Wizara ya Madini mjitafakari sana kuelekea TMIC2024

Hao bongo fleva na bongo muvi ndio kundi linaongoza kwa kukosa maadili.
Wanaongoza kwa Umalaya wanawake kwa wanaume ?!
Halafu wanapewa kipaombele cha kwenda Korea Sijui wapi ?!
Hela hizo afadhali zijenge mabweni ya Shule au barabara ya Dar kwenda Chalinze double road walau
 
1000089404.jpg
 
Wamesema atakuwepo kufanya nini ? Siwezi kupinga kabla ya kujua uwepo wake..., Kama ni kutoa lecture ya uchimbaji bora wa madini na uzingatiaji wa mazingira nadhani itakuwa wamekosea...., Lakini kama labda ni kuonyesha jinsi vito vinavyoweza kutumika kama cosmetics sidhani kama kuna kosa
 
Nimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)

Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM

Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!

Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.

Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?

Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.

Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.

Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.

View attachment 3155006

Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Wanaiga kwa mama aliyebeba lundo la wasanii kwenda nao huko korea
 
Elimu inafaida gani Tanzania jamani? Jenista Mhagama ni waziri wa Afya lakini ana certificate ya ualimu toka Korogwe Teachers College. Elimu yake inamsaidiaje kuendesha wizara ya Afya?
Sio kwa form 4 mbovu ya mwanamitindo
 
Elimu inafaida gani Tanzania jamani? Jenista Mhagama ni waziri wa Afya lakini ana certificate ya ualimu toka Korogwe Teachers College. Elimu yake inamsaidiaje kuendesha wizara ya Afya?

Kumbeee ?!
Mtumee 🙆‍♂️🤦‍♀️
 
Hivi kweli jamani imeshikana kupata Waziri mwenye weledi wa mambo ya kitabibu na kuteuliwa kuongoza wizara ya afya badała ya kuleta mtu mwenye Sifa ya cheti ya ualimu ndio awe mbeba maono ya wizara ya afya kwa Tafa hili kwa sasa na vizazi vijavyo ??
Hivi tuko serious kweli ?? 😭😭

Kumbe tatizo la uongozi huenda ni kubwa kuliko tunavyozani ??
 
KUna form 4 mbovu zaidi yake ziko serikalini na sehemu nyeti, nchi hii elimu kigezo kwa mtoto wa masikini tu, fukua mafaili yao uone uozo uliopo.
Form 4 gani nzuri?
Mwanamitindo hapo ndio ilikuwa mwisho wa elimu yake
 
Back
Top Bottom