Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Aibu kubwa sanaAibu Yao kwa kweli.
Kuingia personal interest kwenye maswala yenye public interest.
Mkuu hao ni multiples ana fit wizara yyt maadam yuko tayar kuwafurahisha wakubwa baada gizani!Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana.
Hatuna vision wala maadili pale ambapo unamtanguliza m.alaya mbele kama mfanoSasa unajiuliza je mabinti wengine wadogo wajifunze huo udangaji kutoka kwake nao wawe malaya ili wawe wanapewa kipaombele kwenye jamii ??
Come on!
Wanaiga kwa mama aliyebeba lundo la wasanii kwenda nao huko koreaNimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)
Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM
Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!
Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.
Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?
Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.
Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.
Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.
View attachment 3155006
Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Then u are smart broCome on!
Hii ni movie ya matrix bro!
Huyo ni Trinity akiwa na Key maker!
Ila najua unachomaanisha! 😁
Elimu inafaida gani Tanzania jamani? Jenista Mhagama ni waziri wa Afya lakini ana certificate ya ualimu toka Korogwe Teachers College. Elimu yake inamsaidiaje kuendesha wizara ya Afya?Elimu yake?
Elimu inafaida gani Tanzania jamani? Jenista Mhagama ni waziri wa Afya lakini ana certificate ya ualimu toka Korogwe Teachers College. Elimu yake inamsaidiaje kuendesha wizara ya Afya?
Elimu inafaida gani Tanzania jamani? Jenista Mhagama ni waziri wa Afya lakini ana certificate ya ualimu toka Korogwe Teachers College. Elimu yake inamsaidiaje kuendesha wizara ya Afya?
KUna form 4 mbovu zaidi yake ziko serikalini na sehemu nyeti, nchi hii elimu kigezo kwa mtoto wa masikini tu, fukua mafaili yao uone uozo uliopo.Sio kwa form 4 mbovu ya mwanamitindo
KUna form 4 mbovu zaidi yake ziko serikalini na sehemu nyeti, nchi hii elimu kigezo kwa mtoto wa masikini tu, fukua mafaili yao uone uozo uliopo.
Form 4 gani nzuri?
Nimekuuliza, Waziri cheti cha ualimu kina msaidiaje kuongoza wizara?Mwanamitindo hapo ndio ilikuwa mwisho wa elimu yake
Nimekuuliza, Waziri cheti cha ualimu kina msaidiaje kuongoza wizara?
Muache kunyanyapaa wwngine na mnawafumbia macho wengine.