Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,931
- 3,177
tusibishanie umbeya mwanamke na mwanaume ni aibu,,,,,asanteNa Wewe hiyo Familia yao ( ya akina Diamond ) iliacha kukubali lini Mkuu?
shughuli ipoKasoma tandika sekondari unategemea nini..
Mamake mwenyewe kahaba ..unategemea nini...na alimzaa hamisa akiwa under 18 unategemea nn...maji hufata mkondo..
Nachukia sana wasichana wasiojitambua
Tena mtoto wake hajafika hata 3years lol!Kabisaaa,ila nlikaona kajinga fulani hv
Mtt wa kwanza ukaachiwa unakuja zaa tena na mume wa mwenzako halaf kanachekelea tu
Kwani Zari naye si ndo hao hao.Aseee yaani ndipo unapojua Wanaume wote niwa mama mmoja same Ivan same diamond pole zari ,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Aseee yaani ndipo unapojua Wanaume wote niwa mama mmoja same Ivan same diamond pole zari ,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake tuna kazi kweli kweli binafsi sikuona kama amefanya jambo la maana may be kama kaahidiwa ndoa,sijui huwa naonaje kwangu,mwanamme tayari ana mwanamke mwingine na keshazaa nae halafu namm nijipeleke daaaaa anyway kila mtu na maamuzi yake
Wanawake tuna kazi kweli kweli binafsi sikuona kama amefanya jambo la maana may be kama kaahidiwa ndoa,sijui huwa naonaje kwangu,mwanamme tayari ana mwanamke mwingine na keshazaa nae halafu namm nijipeleke daaaaa anyway kila mtu na maamuzi yake
AiseeeeeAcha kusema ndugu yangu, wanawake wa siku hizi umri ukiwa unaenda bila yakuwa na wanaume wakumuoa, hua wanaamua kumuganda mwanaume yoyote tu, anakutegea siku za hatari unaachia risasi zako,baada ya siku mbili unakuja ambiwa nina mimba yako, ukicheck home wife msala,unaamua kulea mimba kimya kimya, mtoto akizaliwa, kama uliyezaa naye ni fyatu anaanza matangazo, lakini kama ni mkimya, hakuna wakujua labda hawa ma super star wa bongo... mimi nimezaa na mdada mmoja hivi anafanya kazi taasisi kubwa tu serikalini, na wife wala hajui and tumezaa mapacha na watoto tumewapa majina yangu kabisa kwa mfano Jackson Edward.
Huyo dada nilijaribu kumuomba game akajaa mzima mzima,nikamwambia nina mke, akasema naomba tu nizae na wewe, kwan hapa nilipo now nina 28 and sioni dalili zakuolewa na mwanaume yoyote, so please naomba tuzae tu and sitakua msumbufu kwa ndoa yako...
Nilipopiga game kama tatu, mbili hivi kitu na box, so imeback kua siri yangu na yeye tu
Aiseeeee
Hahahahaha nimecheka hadi machozi khaaaa kwa sabab ya nnHiyo avatar yako inafaa kabisa kutoa zawadi toka kwa Mungu
Hahahahaha nimecheka hadi machozi khaaaa kwa sabab ya nn
Mkuu usitake kunivunja mbavu bwanaBasi tu, si unaona mwenyewe.... Avator ya ukweli hiyo, unaweza potea njia ukajikuta uko tazara kumbe kwako ni bunju
Mkuu usitake kunivunja mbavu bwana[/QUO