Hamisa Mobeto athibitisha kuzaa na Diamond

Huyo binti ana hangaika sana lakini sijui kwanini Diamond ana shindwa kumtambua..?
 
Hongera sana binti kwa kujielewa.Nawashangaaga sana wanawake,sijui wanawazaga kwa kutumia nini
Ujinga tu, maana unazaa na mtu ambae hana hata possibility ya kukuoa. Khaaa.
 
Hamisa anajua anachokifanya hawezi tu kuamua kumpa jina la baba ake diamond mtoto wake
 
Pambana na hali yako binti.. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…