Hamisa Mobeto, Billnas mambo hadharani ...

Lakini si anamjua Billnass mafioso??... asije akaanza kulalamika huko!... amuulize nandy tuu...
 
Leta vithibitisho tuone sio bla blaaaa nyiiingiii.. heri ya mobeto ba billnas kuliko wema na pck na dogo njanja...
 
Sasa umbeya huu malizia insta sio huku
 
Wew kama vile huwaga unalipwa kwa umbea .. tanzania ya viwanda ... kwanza mkuu wewe ni admin wa magroup mangapi??
Nawewe ni kama huwa unalipwa kwa kusoma umbea wake hahahah
 
Write your reply...
mar*inda ya mtu yapo hatarini hapa jamani, waokoaji mko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…