Tetesi: Hamisa Mobeto kuwania ubunge Kinondoni kupitia CCM

Tetesi: Hamisa Mobeto kuwania ubunge Kinondoni kupitia CCM

Kama tetesi hizo zitatimia,Chama cha marehemu babu yangu mpendwa kitakua kinajizika kaburini na kitakuwa kimeishiwa mbinu.

Sasa libunge kama hilo huko bungeni litatoa hoja gani zaidi ya kupendekeza miswada ya wadangaji watambuliwe kisheria na wapewe haki zao za msingi.
 
Huyo hamsa ndonani na alishafanya nini CV yake tafadhali? Msipende kujadili watu kiumbea jadilini in connection with issues ama ideas nilini mtaelewa
 
Hao wasanii baadhi yao wanajiona wanauwezo wa kuongoza lakini sidhani kama kweli wanauwezo huo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi Rais wa Liberia unamfahamu? Ni zao la nini?
 
Freed Freed,
Kuweni chonjo na walimbwende na wasanii wanaotaka kutumia kujulikana kwao au umashuhuri wao kuingia kwenye siasa. Jamii iwapime kama kweli wanatosha viti wanavyotaka kugombea vinginevyo jamii itabeba magunia ya upepo kupeleka bungeni. Tunaweza kujikuta tuko na wachumia tumbo na waganga njaa wala hawana habari wala uwezo wa kuwakilisha mtu bungeni.
 
Kuweni chonjo na walimbwende na wasanii wanaotaka kutumia kujulikana kwao au umashuhuri wao kuingia kwenye siasa. Jamii iwapime kama kweli wanatosha viti wanavyotaka kugombea vinginevyo jamii itabeba magunia ya upepo kupeleka bungeni. Tunaweza kujikuta tuko na wachumia tumbo na waganga njaa wala hawana habari wala uwezo wa kuwakilisha mtu bungeni.
Nitajaie hata mmoja ambaye sio mganga njaa kwenye bunge hili, kuanzia wale wa darasa la saba hadi professors. Baada ya hapo nitarudi kukuhoji kulingana na jawabu lako.
 
Lisemwalo lipo....wahenga walisema
Bashite anamendea Kigamboni...
Shishi anaenda Igunga....
Madam Wema atakuwa Singida....
Joti hukawii kusikia yupo Bariadi....
Afande Sele Morogoro mjini...

Nchi hii burudani mwanzo mwisho, ndiyo maana mabeberu wanaitamani..

Everyday is Saturday.................😎
 
Hii dharau kwa Wana kinondoni
Huyu ataongea nn "kinondoni yenyewe haijui"
Huyu anatafuta yake.... Na suala la ubunge asahau kwanza

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Freed Freed,
Halafu eti ndio mnawaza kufikia uchumi wa kati na nchi ya Viwanda kwa kutumia Thinkimg Capacity za akina Hamisa Mobeto, Steve Nyerere, Diamond , Harmonize etc.
Hii nchi imelaaniwa hii
 
Back
Top Bottom