mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Ametumwa na mchepuko wake DAB, aanze kwanza kujitokomeza mwenyew huo umalaya na
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani aitokomeze biashara yake?yeye ameacha lini ukahaba?au wanadhani kupita na watu maarufu au wenye pesa ila hukai barabarani sio ukahaba?Ha ha ha atatokomeza ukahaba kazi kwelikweli!!
Atakuwa anafaa ubunge was vitu maalumu(pudi) chambirizedHaka kabinti nako kanataka ubunge? Wahindi wanasema
Ane duniyya petu nagaro( kweli dunia inakwenda kasi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama DJ ameweza kuiongoza Chadema si dhani kama yupo msanii akipata nafasi ya kuwakilisha wananchi atashindwa.Hao wasanii baadhi yao wanajiona wanauwezo wa kuongoza lakini sidhani kama kweli wanauwezo huo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Halo JF siasa.
Wimbi la wasanii kuonesha vipaji vyao vya uongozi linazidi kujidhihirisha. Kuna habari za chini ya kapeti kuwa mrembo wa haja nchini, Hamisa Mobeto anataka kuwaakilisha Wanakinondoni bungeni. Inadaiwa anaungwa mkono na baadhi ya wajumbe wa kamati ya siasa Mkoa wa Dar es salaam.
Mheshimiwa Hamisa amepanga kuutokomeza biashara ya madawa ya kulevya, ukahaba, wizi na vitendo vingine vya uhalifu. Pia amepanga kuboresha miundombinu, elimu, Afya, maji, usafi wa mazingira, kupunguza kelele nk.
Mzee wa bakora ni naniFreed Freed, Huku Diamond,
Kule Harmonise msuka nywele, Kule Steve Nyerere..Pale Hamisa.. Hadi raha Yaani Ccm wamejipanga kweli kweli.
Na tayari Mzee wa bakora amesha anzisha na kikundi cha kwaya. Itakuwa kusifu na kuabudu kwa kwenda mbele..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pampafuuuNilivyo kuwa nakuona pale buffet unauza chai nilidhani wamekuonea
In God we Trust
Gari bovu la ukahaba halisukumwi kwa kukaa ndani yake.Halo JF siasa.
Wimbi la wasanii kuonesha vipaji vyao vya uongozi linazidi kujidhihirisha. Kuna habari za chini ya kapeti kuwa mrembo wa haja nchini, Hamisa Mobeto anataka kuwaakilisha Wanakinondoni bungeni. Inadaiwa anaungwa mkono na baadhi ya wajumbe wa kamati ya siasa Mkoa wa Dar es salaam.
Mheshimiwa Hamisa amepanga kuutokomeza biashara ya madawa ya kulevya, ukahaba, wizi na vitendo vingine vya uhalifu. Pia amepanga kuboresha miundombinu, elimu, Afya, maji, usafi wa mazingira, kupunguza kelele nk.
Tofautisha watu wanaojielewa na hao pimbiKwani kina Sugu na Prof Jay mbona wapo na hatuoni hilo balaa?