Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wapumbavu tukukaMobeto Ni mojawapo ya single mama wapumbavu sana nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapumbavu tukukaMobeto Ni mojawapo ya single mama wapumbavu sana nchi hii
Kwahio yule mtoto ni wa Nenga ama? 😀Wewe Mondi kishapima DNA zamani, ndio maana sasa hivi hata hela child hatoi. Zigo sasa hivi la huyo mtoto analazimishwa Billnass alibebe, kuna kipindi Mama yake Diamond alimponda kwenye insta "tusilazimishe undugu ".
Sasa kama kweli kisheria ni wa Mondi why kwa nini mpaka sasa Mobetto hajamshtaki Mondi?
Why kwa nini zigo analazimishwa Billnass?
hahahahahaha we jamaa nimecheka sanaNdo maana ake,
Tena hiyo Ni kwa jijini dar,
Mikoani Ni debe la mahindi na elfu 15 cash mwezi mzima[emoji4]
Waongo hao bwana wee!!!!eti kaonge mpokiKwahio yule mtoto ni wa Nenga ama? [emoji3]
Habari ya Mda sana hyo bestie,Kwa Sasa HAMISA hakuna intavyuu anataja Ile familia
Fatilia intavyuu yake na Millard ayo juzi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa unashindana na DNA,dada siku hizi wanaume wa sasa si kama wa zamani eti kitanda hakizai haramu ,akigundua mtoto si wake utamlea mwenyewe na baba unaye mjua ww na kama hujui sasa US wanataka kwenda mbali sana kuna vuguvugu limeanzishwa itambulike kisheria, kwamba kama ikigundulika mwanaume kabambikiwa mtoto,basi mwanamke anatakiwa kurudisha gharama za kumlea mtoto alizotumia mwanaume alibambikiwa mtoto.Hata billnass hajalazimishwa mtoto
Ujue kwa alipofikia HAMISA Kwa Sasa amempuuza tu Mondi na hataki hizo drama
Hyo intavyuu ya miaka mingi kipindi hicho HAMISA nadhani Bado ana akili za kitoto na kishamba
Kwa Sasa HAMISA huyu sio yule wa kipindi kile kutukannwa na ukoo mzima na Bado anaenda kuliwa na Mondi
HAMISA wa Sasa amekaa kimya anawaona wote wapuuzi tu kuhusu DNA mwanzoni walipima walitaka wakapime Tena HAMISA amekataa na sio yeye hata Mimi km nna hakika mtoto ni wako ukisema DNA nakataa asee kama kumkataa mkatae wangapi wanekataliwa wamelelewa single mama na wanafanikiwa
Amechoka na drama za bi Sandra na wanawe,wale hawajitambui they are dying for fame ndo maana yule mama na mwanawe waliweza kwenda kwenye Radio wakasema diamond sio mtoto wa Mzee Abdul aliolewa na Mimba tu ila Mzee Abdul uliona hekima aliyotumia?na Ndo uzazi ulivyo brother...
Kwa Sasa Missa Yuko too far from dramas anafanya umalaya wake kimpango wake Ile familia Iko tayari Kwa lolote Ili tubaki wabaki juu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anauza ametoboa....... ametoboa nini labda kama sikio.Hujui kitu brother[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana punguza chuki na watoto wa kike
Maendeleo ya mwanamke yapo aina mbili auze uchi afanikiwe au kuolewa au apambane atoboe na kurithi
Yeye anauza ametoboa
Wewe komaa mwanaume
Acheni upotoshaji
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwanza huyo unayemwona ww mzuri sio type zangua kabisa. Mademu ninaodate nao wenye mizgo,huyo mimi sioni uzuri wake kwangu nisamuona mara nyingi hana uzuri wowote mbele ya macho Yangu.Unamuamini Mpoki [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]pole sana
Eti bi Sandra kaandika huyu aliesema diamond sio mtoto wa Mzee Abdul baba Ake Mzee Salum Nyange
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Duh
Nadhani enzi anasoma Tandika alikukataa weye maana sio kumkomalia huko HAMISA wa watu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna shida Hamisa.Kwani kuna shida🙄
Pigia mstari, yule demu ndio maana humuoni kumsumbua Mondi sijui kwenda mahakamni,kama zamani. Ndio maana yy target yake ilikuwa ni kuishi kwa Child Support kutoka kwa Mondi na Majizo.Mondi kishasepa Majizo kaoa sizani,Majizzo atakuwa anatoa ila sizani kama ile zamani si unawajua wanawake wao kwa wao hawapendani.Kwahio yule mtoto ni wa Nenga ama? 😀
Lazma kuna namna Lulu atamkunjia tuPigia mstari, yule demu ndio maana humuoni kumsumbua Mondi sijui kwenda mahakamni, maana yy target yake ilikuwa ni kuishi kwa Child Support kutoka kwa Mondi na Majizo.Mondi kishasepa Majizo kaoa sizani,Majizzo atakuwa anatoa ila sizani kama ile zamani si unawajua wanawake wao kwa wao hawapendani.
Ndio maana yake Majizzo kama hela atatoa ila target itakuwa inamuhusu mtoto tuu,siku hizi ada analipia kupitia benki, hela ya kula anaweza kutoa hata laki 5 kwa mwezi.Lazma kuna namna Lulu atamkunjia tu
Hasaaa ana shida ya pesa kwa Sasa kwani?!!!!Sasa unashindana na DNA,dada siku hizi wanaume wa sasa si kama wa zamani eti kitanda hakizai haramu ,akigundua mtoto si wake utamlea mwenyewe na baba unaye mjua ww na kama hujui sasa US wanataka kwenda mbali sana kuna vuguvugu limeanzishwa itambulike kisheria, kwamba kama ikigundulika mwanaume kabambikiwa mtoto,basi mwanamke anatakiwa kurudisha gharama za kumlea mtoto alizotumia mwanaume alibambikiwa mtoto.
Kaa hapo hapo eti nakataa unakataa wakati DNA ndio ishaongea,unaupinga vipi ushahidi wa kisayansi.
Hamisa amekaa kimy sababu Mondi kishajua ndio maana Mondi hatoi hata sumni na hana chochote kutoka kwenye mali ya Mondi.
Niko Wilaya yaTanganyika kwa Sasa!!!!Unafatilia interview? Unafikir atasema bado anamkubali??. Uko mkoa gani??
Ha ha ha h!!!Pole kwa nnavokusoma tu wewe in envyyyyyy kwa MissaAnauza ametoboa....... ametoboa nini labda kama sikio.
Hao wanazaa tu kuhusu mtoto na malezi wanamwachia bibi, huku yy akiendelea kukitembeza kisuguliwe.Dah! alafu na huyu nae ni mama wa mtu