Hamisa Mobeto

Hamisa Mobeto

Mkuu wasiliana na bosi wangu D atakupa namba zake. Au njoo ofisini kwetu
 
Kiukweli huyu mwanamama,kabla hajazalishwa tulikuwa tunawasiliana sana.Alikuwa anasisitiza kuwa nifike Daasalama tukaonane,nadhani hofu yangu tuu huenda mtoto angekuwa wakwangu.Nowday hata sms hajibu na nikimpigia mara nyingi anapokea kiviiiiiivu sana.
 
We nae, demu gani huyo sura mbovu km Bibi kizee kakunja goti, rangi hiyo ya makeup inakuzingua, mtafte mondi akupe namba
 
Hiyo picha ya kwanza lazima nimkope leo, CHAPUTA OYEEE!![emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kweli pesa sabuni ya mwili huyo binti kipindi yuko uswazi alikuwa wakawaida Sana
72188f2d392115c9cd01f8dce1fb0a7b.jpg
hapa ndio alikuwa mzuri. Kuliko alivyo sasa
 
Kiukweli huyu mwanamama,kabla hajazalishwa tulikuwa tunawasiliana sana.Alikuwa anasisitiza kuwa nifike Daasalama tukaonane,nadhani hofu yangu tuu huenda mtoto angekuwa wakwangu.Nowday hata sms hajibu na nikimpigia mara nyingi anapokea kiviiiiiivu sana.
Hebu lete nambaa yake nijaribu bahati yangu
 
Back
Top Bottom