mwakimonya
Member
- Feb 21, 2017
- 11
- 14
Nani ana namba ya Hamissa Mobetto au mama Dylan kama anavyoitwa na Nasib Abdul, mpigieni mwambie tunajua maisha ya mtanzania yamekuwa magumu sana sema aache kuvamia kazi za watu.
Maana anachoimba ni jina lake tu ndo linafanya watu wasikilize bila hvo nazani ni trash music ambao haustahili hata yeye mwenywe kuusikiliza.
Mwambieni awaachie wenye fani zao maana kulala na msanii hakukufanyi na ww ujue kuimba aiseeh. Anaharibu carrier za watu wanashindwa kupata air time kwaajili ya uchafu wao
Maana anachoimba ni jina lake tu ndo linafanya watu wasikilize bila hvo nazani ni trash music ambao haustahili hata yeye mwenywe kuusikiliza.
Mwambieni awaachie wenye fani zao maana kulala na msanii hakukufanyi na ww ujue kuimba aiseeh. Anaharibu carrier za watu wanashindwa kupata air time kwaajili ya uchafu wao