PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
mond hajakataa mtoto . analea vizuri .zari ajibebe hamjui mtoto wa tandale yuleMond hana haja ya kumkana mtoto kama ni wake, na asimuogope zari coz sio mke wake wa ndoa, na hamtegemei zari bali zari ndo anamtegemea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mangeee sasa hy post ya huyo mtoto nmecheka htr yule dada kibokoMange alusha yasema haya wiki iliyopita kuwa mtoto ni wa Diamond na bi Sandra anafahamu lakini kwa kuwa wana business interests nz Zari bible atauweka wapi uso katika aibu hii ilubidi aka tae kwenye media lakini usiku anataka kwa Hamisa kwenye nyumba aliyopangishiwa na Majizzo