Hamisa Mobetto ajifungua mtoto wa kiume

Najiuliza wabongo wanavyoshupalia mambo yqbkawaida km haya dah


Ninachojivunia niko mjini hata Leo pamoja na kwamba baba jescaer alisema mwezi as saba tutakimbia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: BAK
JF ni jukwaa usichokipenda wewe kuna wanaokipenda. Diamond ni star mkubwa na maisha yake binafsi yanaongelewa celebrates wengine
 
Hivi huwaga hawawezi kusubiri angalao mwezi mmoja ukapita ili waanze kuvipiga picha vichanga wao?mtoto hata hajaijua sauti ya mama yake tayari kishaanza kula mionzi ya simu....what for!!!na hii tabia wabongo wengi sana wameiiga tujifunze kuwa na subira.

sent from Kibiti with Nokia3310 using Jf app
 
Dah huyu bibi dada kwao ni mwanza mjini mitaa ya mabatini aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nakumbuka nilipokuwa darasa la 7 nilkuwaga namuona na sketi za sekondari aseeeeeeeeee kumbe maisha ni hapa hapa na namna unavyo make your life.
 
MDADA MREMBO LAKINI ANAZAA NA BABA WA KUMFICHA.

HAMISA, HV KWELI AMESHNDWA KUJITAMBUA KUWA NI MZURI.. HASTAHLI KUWA SINGLE MOTHER

KWANINI ASINGEKUWA NA MWANAUME ANAYEELEWEKA, WAKAFUNGA NDOA WAKAZAA

NDOA INA HESHMA YAKE.
 
Hii ndo pointi mkuu,
MDADA MREMBO LAKINI ANAZAA NA BABA WA KUMFICHA.

HAMISA, HV KWELI AMESHNDWA KUJITAMBUA KUWA NI MZURI.. HASTAHLI KUWA SINGLE MOTHER

KWANINI ASINGEKUWA NA MWANAUME ANAYEELEWEKA, WAKAFUNGA NDOA WAKAZAA

NDOA INA HESHMA YAKE.
Usingle maza mbaya Sana,
ILA it's up to yeye atajijua na maisha yake
 
Kwani ana maisha gani ya kumwongopesha mtu?
 
MDADA MREMBO LAKINI ANAZAA NA BABA WA KUMFICHA.

HAMISA, HV KWELI AMESHNDWA KUJITAMBUA KUWA NI MZURI.. HASTAHLI KUWA SINGLE MOTHER

KWANINI ASINGEKUWA NA MWANAUME ANAYEELEWEKA, WAKAFUNGA NDOA WAKAZAA

NDOA INA HESHMA YAKE.
[emoji106]

-Ndumilakuwili-
 
Hongera Hamisa [HASHTAG]#mwanamkekuzaa[/HASHTAG] kama ilivyo [HASHTAG]#mwanaumemashine[/HASHTAG]! wangu yupo njiani!! hahaha
 
Reactions: BAK
Hongera na kila la heri.

Hongera Hamisa [HASHTAG]#mwanamkekuzaa[/HASHTAG] kama ilivyo [HASHTAG]#mwanaumemashine[/HASHTAG]! wangu yupo njiani!! hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…