Hamisa Mobetto amepoteza mwelekeo wa maisha

Hamisa Mobetto amepoteza mwelekeo wa maisha

mambo ya NGOSWE MUWACHIE MWENYEWE NGOSWE.

ile yake mwenyewe anaitumia anavyoona inafaa
 
Unamalza bando unaandka kuhusu hamisa
Mf akiharbikiwa ww unapata hasara gani au ndo nyie mnaish kwa kusema wasanii vioo vya jamii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanaume wa dar baana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisaa...Hamisa anapita alimopita Wema!!hata hajali yeye anaona watu tunamuonea tunavyomsema

Na mamayake na yeye ndio kahaba aliyezeeka..muhuni wa Zamani wala hana cha kumshauri Misa

Sent using Jamii Forums mobile app
She will eat them[emoji12] [emoji12] [emoji12] i don't trust her.
Kazi kweli kweli, hii familia tabu tupu. Kudanga ndio kunawaweka mjini.
Eti team yake sasa ndio ilikuwa inataka kumpaisha level za Zari[emoji15] . Akili zingine sijui zikoje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
She will eat them[emoji12] [emoji12] [emoji12] i don't trust her.
Kazi kweli kweli, hii familia tabu tupu. Kudanga ndio kunawaweka mjini.
Eti team yake sasa ndio ilikuwa inataka kumpaisha level za Zari[emoji15] . Akili zingine sijui zikoje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe!!

Ndio maana sasa hivi anawakoga na kuwaita mbwa!
 
Kwa watu wanaomjua hyu bimdada

Mbona sahv kapiga hatua

Ova
 
Kweli kabisaa...Hamisa anapita alimopita Wema!!hata hajali yeye anaona watu tunamuonea tunavyomsema

Na mamayake na yeye ndio kahaba aliyezeeka..muhuni wa Zamani wala hana cha kumshauri Misa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungemjua tokea alivyokuwa zamani wala usingeumiza kichwa...

Ova
 
Ni kioo cha jamii

Mwanamke wa shoka aka malkia nguvu

😂😂😂

Ova
Anamwita CEO wa too much money mjomba. Inasemekana vunjabei na mama yake ni mtu na mdogo wake 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom