Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
mambo ya NGOSWE MUWACHIE MWENYEWE NGOSWE.
ile yake mwenyewe anaitumia anavyoona inafaa
ile yake mwenyewe anaitumia anavyoona inafaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
okay asante kwa kunijuza,ni mwanamke au mwanamme?
Yaani naona aibu kwa niaba, hakuna ile emoji ya kuziba macho yarabi?😵Mleta mada unaishushia hadhi verified user,nyuzi zako mbovu sana
Kabisaaa mkuu.Yan kwa mwanaume hii ni aibu kabisaa.Mbona kuna mengi ya kufanyaMkuu usifatilie mambo ya kike
She will eat them[emoji12] [emoji12] [emoji12] i don't trust her.Kweli kabisaa...Hamisa anapita alimopita Wema!!hata hajali yeye anaona watu tunamuonea tunavyomsema
Na mamayake na yeye ndio kahaba aliyezeeka..muhuni wa Zamani wala hana cha kumshauri Misa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara Paaap!Write your reply...
Kumbe!!She will eat them[emoji12] [emoji12] [emoji12] i don't trust her.
Kazi kweli kweli, hii familia tabu tupu. Kudanga ndio kunawaweka mjini.
Eti team yake sasa ndio ilikuwa inataka kumpaisha level za Zari[emoji15] . Akili zingine sijui zikoje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungemjua tokea alivyokuwa zamani wala usingeumiza kichwa...Kweli kabisaa...Hamisa anapita alimopita Wema!!hata hajali yeye anaona watu tunamuonea tunavyomsema
Na mamayake na yeye ndio kahaba aliyezeeka..muhuni wa Zamani wala hana cha kumshauri Misa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kioo cha jamiiWho is Hamisa Mobetto?Naona anatajwatajwa sana!
Anamwita CEO wa too much money mjomba. Inasemekana vunjabei na mama yake ni mtu na mdogo wake 🤣🤣🤣🤣Ni kioo cha jamii
Mwanamke wa shoka aka malkia nguvu
😂😂😂
Ova
DuhAnamwita CEO wa too much money mjomba. Inasemekana vunjabei na mama yake ni mtu na mdogo wake 🤣🤣🤣🤣