Hamisa Mobetto ana anza career yake mpya ya kucheza mpira

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Nyie wote mnajuwa kama hamisa mobetto ako na vipaji mingi. Anaimba mziki, model, anaigiza na vingine πŸ˜‰ Sasa hamisa mobetto ameamua kuanza na career yake ya mpira wa miguu baada ya kufanikiwa kwa career zake nyingine. Yeye atakuwa kocha na mchezaji. Mko tayari kmuangalia hamisa akipiga chenga uwanjani?

 
Simply angalia tu ume join lin humu na mm nmejoin lin! na kwa tarfa tu kwa jf hii n kama id ya 8 ,hivi! NB; we utakuwa ni mnuka kwapa fulani, ambae unatetea ujinga, nmempa nasaha nzur sana huyo bi dada ni mda gani anafanya kazi? ila wewe ukawashwa,
Wewe huo muda wote anaokaa humu umeujuaje

Kama na wewe haukai muda wote ...

Labda ni mgonjwa , na hapa anapotezea mawazo

Labda ndo jesca magufuli , yupo ikulu tu hana kazi yeyote

Wewe hautumii akili

Pia kua na id nane , hakuna kitu cha kutisha hapo , hafu mwanaume unakua na id nane , are you serious mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…