Hamisa Mobetto atarajia kufungua Duka la nguo na urembo

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,378
Reaction score
56,047
Beauty with brain!

Hongera dogo, Mungu akusimamie katika kazi za mikono yako.

Hamisa leo amepost kwenye ukurasa wake wa IG kuwa amekuwa akifanya biashara na watu ya kuuza nguo kwa miaka minne japo sie tulikua tunamdhihaki hana kazi, kazi yake ni kudanga mjini.

Kwa sasa ameamua kutumia jina lake mwenyewe katika kufanya biashara na litaitwa Mobetto boutique.

Nampa hongera zake sana sana sana na tutamsapoti. Mimi binafsi mwanamke akijishughulisha namkubali haswaaa na kama naweza namsapoti. Nitaanza tarehe 17 kwenda kuwatch move from first time after Kanumba's demise na nikijaaliwa nitaenda kununua hata gagulo au skin tight to show support kwake.

Na wale team roho mbaya mnakaribishwa pia kumuunga mkono kahamisa chenye 24yrs kilichoamua kujiongeza maana kejeli zenu, dharau zenu na dhihaka ndio zinamfanya abarikiwe.

Karibuni dukani wapendwa!!!
 
Aisee! Keshapata mtaji tyr daaah! Mchumaji mzuri
 
warumi
yule boss lady hajawai kufanikiwa kwenye biashara yoyote .gundu .com
Zari Hassan abandoned her Fashion boutique at Garden city to the dogs when she relocated to Tanzania with her fiancée Singer Diamond Platinumz. The business has since been gutted by bad debts and losses after it was deserted



“Zari left the shop in the hands of her mother who managed the business for months until she couldn’t due to her old age and the stiff competition from Abryanz Fashion Forward store.” a source told howwe.biz



We’ve been told that Garden City management has closed her shop over unpaid rent arrears. She was given an ultimatum to clear the debt however, she (Zari) refused to pay.



Consequently, GC management has put her goodies up for auction in a bid to recover their rent money.
 
For sure naanza na uzinduzi wa film 17th of Nov if God wish ht kukopa buku10 ntakopa tu
zari alishindwa kulipa kodi hadi vitu vikapigwa mnada eti bossylady
Zari Hassan abandoned her Fashion boutique at Garden city to the dogs when she relocated to Tanzania with her fiancée Singer Diamond Platinumz. The business has since been gutted by bad debts and losses after it was deserted



“Zari left the shop in the hands of her mother who managed the business for months until she couldn’t due to her old age and the stiff competition from Abryanz Fashion Forward store.” a source told howwe.biz



We’ve been told that Garden City management has closed her shop over unpaid rent arrears. She was given an ultimatum to clear the debt however, she (Zari) refused to pay.



Consequently, GC management has put her goodies up for auction in a bid to recover their rent money.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…